Rais Magufuli apokea ripoti ya hesabu za Serikali ya 2016/17 kutoka kwa CAG

Rais Magufuli apokea ripoti ya hesabu za Serikali ya 2016/17 kutoka kwa CAG - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rais Magufuli apokea ripoti ya hesabu za Serikali ya 2016/17 kutoka kwa CAG, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Rais Magufuli apokea ripoti ya hesabu za Serikali ya 2016/17 kutoka kwa CAG
kiungo : Rais Magufuli apokea ripoti ya hesabu za Serikali ya 2016/17 kutoka kwa CAG

soma pia


Rais Magufuli apokea ripoti ya hesabu za Serikali ya 2016/17 kutoka kwa CAG





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania   Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Profesa Mussa Assad Ikulu jijini Dar es Salaam.
4
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa  Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) mezani kwake mara baada ya kuzipokea kutoka kwa CAG Profesa Mussa Assad Ikulu jijini Dar es Salaam.
5.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza wakati akitolea ufafanuzi baadhi ya hoja  zilizowasilishwa katika taarifa hiyo ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Profesa Mussa Assad Ikulu jijini Dar es Salaam.
11
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa ajili ya kwenda kuifanyia kazi pamoja na Mawaziri, Manaibu Waziri, Makatibu Wakuu na Wakuu wa Taasisi mbalimbali za Serikali.
15
Baadhi ya Mawaziri waliohudhuri katika tukio la uwasilishwaji wa Taarifa ya Mdhibiti na  Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG wakifatilia kwa makini taarifa hiyo Ikulu jijini Dar es Salaam.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala Rais Magufuli apokea ripoti ya hesabu za Serikali ya 2016/17 kutoka kwa CAG

yaani makala yote Rais Magufuli apokea ripoti ya hesabu za Serikali ya 2016/17 kutoka kwa CAG Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Rais Magufuli apokea ripoti ya hesabu za Serikali ya 2016/17 kutoka kwa CAG mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/03/rais-magufuli-apokea-ripoti-ya-hesabu.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Rais Magufuli apokea ripoti ya hesabu za Serikali ya 2016/17 kutoka kwa CAG"

Post a Comment