title : RAIS DK.SHEIN AKUTANA UJUMBE WA HUAWEI LEO
kiungo : RAIS DK.SHEIN AKUTANA UJUMBE WA HUAWEI LEO
RAIS DK.SHEIN AKUTANA UJUMBE WA HUAWEI LEO
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(kulia) akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Huawei Bw.Gao Mengdong, alipofika Ikulu Zanzibar leo kwa mazungumzo pamoja na Ujumbe aliofuatana nao. (Picha na Ikulu)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Ujumbe wa Huawei unaoongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Huawei Bw.Gao Mengdong (wa pili kulia) ujumbe huo ulipofika Ikulu Zanzibar leo kwa mazungumzo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Huawei Bw.Gao Mengdong, alipofika Ikulu Zanzibar leo kwa mazungumzo pamoja na Ujumbe aliofuatnana nao (hawapo pichani).
Hivyo makala RAIS DK.SHEIN AKUTANA UJUMBE WA HUAWEI LEO
yaani makala yote RAIS DK.SHEIN AKUTANA UJUMBE WA HUAWEI LEO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala RAIS DK.SHEIN AKUTANA UJUMBE WA HUAWEI LEO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/03/rais-dkshein-akutana-ujumbe-wa-huawei.html



0 Response to "RAIS DK.SHEIN AKUTANA UJUMBE WA HUAWEI LEO"
Post a Comment