Ndege Ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imeshikiliwaa nchini Canada imeachiwa

Ndege Ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imeshikiliwaa nchini Canada imeachiwa - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Ndege Ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imeshikiliwaa nchini Canada imeachiwa, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Ndege Ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imeshikiliwaa nchini Canada imeachiwa
kiungo : Ndege Ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imeshikiliwaa nchini Canada imeachiwa

soma pia


Ndege Ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imeshikiliwaa nchini Canada imeachiwa




Kwa Mujibu wa Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Ikulu, Gerson Msigwa amesema Ndege ya Tanzania iliyokuwa inashikiliwa nchini Canada imeshaondoka nchini humo na inarejea Tanzania.

Msigwa ameandika hayo kupitia ukurasa wakwe wa mtandao wa kijamii wa Twitter

Pia Msigwa ameongeza kuwa Ndege 3 kubwa, Mbili aina ya Bombardier CS300 kutoka Canada na Moja Boeing 787-8 Dreamliner kutoka Marekani zitawasili baadae mwaka huu


"Ndege yetu aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imezuiliwa nchini Canada ilikwishaondoka Canada kuja Tanzania. Aidha, ndege kubwa nyingine 3 (2 Bombardier CS300 kutoka Canada & 1 Boeing 787-8 Dreamliner kutoka Marekani) zitawasili baadaye mwaka huu. Nawatakia Ijumaa Kuu njema."-Msigwa




Hivyo makala Ndege Ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imeshikiliwaa nchini Canada imeachiwa

yaani makala yote Ndege Ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imeshikiliwaa nchini Canada imeachiwa Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Ndege Ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imeshikiliwaa nchini Canada imeachiwa mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/03/ndege-ya-tanzania-aina-ya-bombardier.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Ndege Ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imeshikiliwaa nchini Canada imeachiwa"

Post a Comment