Mvua yasababasha kizaa zaa Barabara ya Tabora Mpanda

Mvua yasababasha kizaa zaa Barabara ya Tabora Mpanda - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mvua yasababasha kizaa zaa Barabara ya Tabora Mpanda, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mvua yasababasha kizaa zaa Barabara ya Tabora Mpanda
kiungo : Mvua yasababasha kizaa zaa Barabara ya Tabora Mpanda

soma pia


Mvua yasababasha kizaa zaa Barabara ya Tabora Mpanda



Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora SACP  WILBROD MUTAFUNGWA  leo ametembelea  kijiji cha  Ipole wilaya Sikonge  ambako Magari zaidi ya 30 yalikwama kutokana na kukatika kwa barabara  ya Tabora - Mpanda kulikosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha mkoani hapa.

Kamanda  Mutafungwa ameongea na wasafiri waliokwama hapo kwa muda wa siku mbili na kuwahakikishia kuwa barabara hiyo itatengemaa kwa muda mfupi na wataendelea na safari yao.kutokana na jitihada kubwa zinazoendelea kufanyika kwa ushirikiano na wakala wa Barabara TANROAD

Abiria hao wametoa shukrani zao kwa Jeshi la Polisi kwa namna walivyoshirikiana nao kwa kuhakikisha  ulinzi na usalama umekuwepo kwa muda wote katika eneo hilo.

Zoezi la urekebishaji wa barabara hiyo linaendelea vizuri huku baadhi ya magari ya abiria yakiwa yameanza safari zake.


Hivyo makala Mvua yasababasha kizaa zaa Barabara ya Tabora Mpanda

yaani makala yote Mvua yasababasha kizaa zaa Barabara ya Tabora Mpanda Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mvua yasababasha kizaa zaa Barabara ya Tabora Mpanda mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/03/mvua-yasababasha-kizaa-zaa-barabara-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mvua yasababasha kizaa zaa Barabara ya Tabora Mpanda"

Post a Comment