Mkutano wa nne baraza kuu la chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Umma Zanzibar

Mkutano wa nne baraza kuu la chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Umma Zanzibar - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mkutano wa nne baraza kuu la chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Umma Zanzibar, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mkutano wa nne baraza kuu la chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Umma Zanzibar
kiungo : Mkutano wa nne baraza kuu la chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Umma Zanzibar

soma pia


Mkutano wa nne baraza kuu la chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Umma Zanzibar

 Mwenyekiti wa Chama cha Wafayakazi wa Sekta ya Umma Zanzibar akizungumza machache na kumkaribisha mgeni Rasmi katika kikao cha Baraza kuu la nne la Chama hicho kilichofanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Utalii Maruhubi Zanzibar
 Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wafayakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania TALGWU Obadia Mwakasitu akizungumza katika Kikao cha Baraza la nne la ZAPSWU huko katika ukumbi wa Chuo cha Utalii Maruhubi
 Mgeni rasmi wa Kikao cha Baraza kuu la nne la Chama cha Wafayakazi wa Sekta ya Umma Mw. Khamis Mwinyi ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi ZATU akiwahutubia washiriki wa wa Kikao hicho
 Washiriki wa kikao cha Baraza kuu la nne la Chama Wafayakazi wa Sekta ya Umma Zanzibar wakiimba nyimbo maarufu ya Mshikamano katika kikao hicho.
Picha ya pamoja ya Wajumbe walioshiriki kikao cha Baraza kuu la nne la Chama cha Wafayakazi wa Sekta ya Umma Zanzibar ZAPSWU. Picha na Abdallah Omar-Maelezo Zanzibar 


Hivyo makala Mkutano wa nne baraza kuu la chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Umma Zanzibar

yaani makala yote Mkutano wa nne baraza kuu la chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Umma Zanzibar Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mkutano wa nne baraza kuu la chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Umma Zanzibar mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/03/mkutano-wa-nne-baraza-kuu-la-chama-cha.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mkutano wa nne baraza kuu la chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Umma Zanzibar"

Post a Comment