JUMUIYA YA WAAHMADIYYA TANZANIA YAWEZESHA MAJI WAKAZI WA MITAA YA KATA KIHONDA MAGHOROFANI, MANISPAA YA MOROGORO .

JUMUIYA YA WAAHMADIYYA TANZANIA YAWEZESHA MAJI WAKAZI WA MITAA YA KATA KIHONDA MAGHOROFANI, MANISPAA YA MOROGORO . - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa JUMUIYA YA WAAHMADIYYA TANZANIA YAWEZESHA MAJI WAKAZI WA MITAA YA KATA KIHONDA MAGHOROFANI, MANISPAA YA MOROGORO ., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : JUMUIYA YA WAAHMADIYYA TANZANIA YAWEZESHA MAJI WAKAZI WA MITAA YA KATA KIHONDA MAGHOROFANI, MANISPAA YA MOROGORO .
kiungo : JUMUIYA YA WAAHMADIYYA TANZANIA YAWEZESHA MAJI WAKAZI WA MITAA YA KATA KIHONDA MAGHOROFANI, MANISPAA YA MOROGORO .

soma pia


JUMUIYA YA WAAHMADIYYA TANZANIA YAWEZESHA MAJI WAKAZI WA MITAA YA KATA KIHONDA MAGHOROFANI, MANISPAA YA MOROGORO .

Na John Nditi, Morogoro
WANANCHI wa mitaa ya Kata ya Kihonda Maghorofani , Manispaa ya Morogoro  wameondokana na adha ya kutopata uhakika maji safi na salama baada kujengwa kituo cha kuchota maji ya bomba kupitia ufadhili wa Jumuiya ya Waislamu Waahamadiyya  chini ya mradi wake wa Taasisi ya International Association of Ahmadi Architects and Engineers (I.A.A.A.E).

Mkuu wa Chuo cha Ahmadiyya Muslim Jama’at Tanzania, Sheikh Abid Mahmood Bhatti alisema hayo  kabla ya kukaribishwa mkuu wa mkoa wa Morogoro, Dk Kebwe Stephen Kebwe , kuzindua mradi wa maji  uliojulikana kwa jina la ‘ Water For Life’  katika kituo cha Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Morogoro na jirani zake .

Alisema , Jumuiya hiyo pamoja na kuwa ni taasisi ya kidini , inayo mipango mbalimbali ya kutoa huduma za kijamii zikiwemo katika sekta ya afya, elimu , umeme wa soka na maji.

“ Mradi huu  ulianzishwa mwaka jana baada ya kupitishwa na Hadharat Khalifa tul Masih  kiongozi mkuu wa Jumuiya  ya waislamu waahmadiyya duniani kupitia taasisi ya IAAAE” alisema Bhatti.

Mkuu wa Chuo alisema , jamii ya Kihonda Maghorofani  iliyopo karibu na taasisi hiyo wanaweza kuchota maji lita zisizopungua 10,000 kwa siku kwa ajili ya matumizi ya nyumbani .
 Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Dk Kebwe Stephen Kebwe ( kulia ) akifungua koki ya maji wa ajili ya kujaza ndoo  mara baada ya kuzindua  mradi wa maji  uliojilikana kwa jina la ‘ Water For Life’  hivi karibuni eneo la  kituo cha Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Morogoro  ambayo yanawanufaisha  wa kazi wa mitaa ya Kihonda Maghorofani , iliyopo Manispaa ya Morogoro .
 Amiri na Mbashiri Mkuu wa Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Tanzania , Tahir Mahmood Chaudhary Sahib ( kulia) akimtwisha  ndoo ya maji  mkazi wa Kihonda Maghorofani , Manispaa ya Morogoro,   Winifrida Laizer , mara baada ya  mkuu wa mkoa wa Morogoro, Dk Kebwe Stephen Kebwe ( hayupo pichani)  kuzindua mradi wa maji  uliojilikana kwa jina la ‘ Water For Life’  hivi karibuni katika kituo cha Jumuiya hiyo  eneo la Kihonda Maghorofani .
 Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Dk Kebwe Stephen Kebwe ( kulia )akikata utepe kuashiria  kuzindua  mradi wa maji  uliojulikana kwa jina la ‘ Water For Life’  hivi karibuni eneo la  kituo cha Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Morogoro  ambayo yanawanufaisha  wa kazi wa mitaa ya Kihonda Maghorofani , iliyopo Manispaa ya Morogoro  na ( wa kwanza kulia ) ni  Amiri na Mbashiri Mkuu wa Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Tanzania , Tahir Mahmood Chaudhary Sahib.
  Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Dk Kebwe Stephen Kebwe ( wapili kulia ) akioneshwa kisima cha maji  na  mkuu wa Chuo cha Ahmadiyya Morogoro , Sheikh Abid Mohmood Bhatti ( kushoto) kabla ya  kuzindua  mradi wa maji  uliojulikana kwa jina la ‘ Water For Life’  hivi karibuni eneo la  kituo cha Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Morogoro  ambayo yanawanufaisha  wa kazi wa mitaa ya Kihonda Maghorofani , iliyopo Manispaa ya Morogoro.
 Baadhi ya wakazi wa mitaa ya Kihonda Maghorofani ,  Manispaa ya Morogoro  wakichota maji safi na salama ya  bomba  mara baada ya  Mkuu wa mkoa , Dk Kebwe Stephen Kebwe , kuzindua  mradi wa maji  uliojilikana kwa jina la ‘ Water For Life’  hivi karibuni eneo la  kituo cha Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Morogoro.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Internatioal Association of Ahmadi Architects and Engineers (I.A.A.A.E) Akram Ahmadi Sahib ( kulia) akiwa ameongozana na mmoja wa viongozi wa Ahmadiyya Muslimu Missionaries Training Centre iliyopo kata ya Kihonda Maghorofani , Manispaa ya Morogoro wakitoa kuangalia mtambo wa kusukuma maji kwa kutumia umeme wa jua. (Picha na John Nditi).

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala JUMUIYA YA WAAHMADIYYA TANZANIA YAWEZESHA MAJI WAKAZI WA MITAA YA KATA KIHONDA MAGHOROFANI, MANISPAA YA MOROGORO .

yaani makala yote JUMUIYA YA WAAHMADIYYA TANZANIA YAWEZESHA MAJI WAKAZI WA MITAA YA KATA KIHONDA MAGHOROFANI, MANISPAA YA MOROGORO . Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala JUMUIYA YA WAAHMADIYYA TANZANIA YAWEZESHA MAJI WAKAZI WA MITAA YA KATA KIHONDA MAGHOROFANI, MANISPAA YA MOROGORO . mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/03/jumuiya-ya-waahmadiyya-tanzania.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "JUMUIYA YA WAAHMADIYYA TANZANIA YAWEZESHA MAJI WAKAZI WA MITAA YA KATA KIHONDA MAGHOROFANI, MANISPAA YA MOROGORO ."

Post a Comment