WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI MWANZA KWA ZIARA YA KIKAZI

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI MWANZA KWA ZIARA YA KIKAZI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI MWANZA KWA ZIARA YA KIKAZI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI MWANZA KWA ZIARA YA KIKAZI
kiungo : WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI MWANZA KWA ZIARA YA KIKAZI

soma pia


WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI MWANZA KWA ZIARA YA KIKAZI

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella baada ya kuwasili kwenye  uwanja wa ndege  wa Mwanza kuanza ziara ya kikazi mkoani humo Februari 15, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na  Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabulla wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza kuanza ziara ya mkoa huo, Februari 15, 2018. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza na viongozi wa serikali, Vyama vya Siasa na viongozi wa dini kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza baada ya kuwasili  na kuanza ziara ya kikazi mkoani humo Februari 15, 2018.  Watano kulia ni Mkuu wa mkoa wa Mwanza, John Mongella.


Hivyo makala WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI MWANZA KWA ZIARA YA KIKAZI

yaani makala yote WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI MWANZA KWA ZIARA YA KIKAZI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI MWANZA KWA ZIARA YA KIKAZI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/02/waziri-mkuu-kassim-majaliwa-awasili.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI MWANZA KWA ZIARA YA KIKAZI"

Post a Comment