Serikali na TFF yakutana na Wahariri wa Michezo kujadili Maandalizi ya Ujio wa Rais wa FIFA na CAF

Serikali na TFF yakutana na Wahariri wa Michezo kujadili Maandalizi ya Ujio wa Rais wa FIFA na CAF - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Serikali na TFF yakutana na Wahariri wa Michezo kujadili Maandalizi ya Ujio wa Rais wa FIFA na CAF, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Serikali na TFF yakutana na Wahariri wa Michezo kujadili Maandalizi ya Ujio wa Rais wa FIFA na CAF
kiungo : Serikali na TFF yakutana na Wahariri wa Michezo kujadili Maandalizi ya Ujio wa Rais wa FIFA na CAF

soma pia


Serikali na TFF yakutana na Wahariri wa Michezo kujadili Maandalizi ya Ujio wa Rais wa FIFA na CAF

 Mjumbe wa CAF na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa Bw.Leodger Tenga (katikati) akizungumza na Wahariri wa Habari za Michezo kutoka vyombo mbalimbali nchini (hawapo pichani) kuhusu mambo ambayo uongozi wa FIFA utapenda kujua katika soka la Tanzania ambapo moja wapo ni Maendeleo ya Soka la Wanawake,Kushoto ni  Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe na Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw.Yusuph Singo kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo.
 Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Bw.Wallace Karia  (katikati) akitoa ufafanuzi kuhusu utaratibu wa waandishi watakao shiriki kuripoti habari wakati wa ujio wa Rais wa FIFA na CAF nchini kwa Wahariri wa Habari za Michezo kutoka vyombo vya habari nchini (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam, Kushoto ni  Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe na Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw.Yusuph Singo kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo.
Seehemu ya Wahariri wa Habari za Michezo kutoka vyombo mbalimbali wakifuatilia kikao cha maandalizi ya ujio wa rais wa FIFA NA CAF mwezi huu nchini kilichokuwa kikiendeshwa na Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe (hayupo pichani) kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe (kushoto) akizungumza na Wahariri wa Habari za Michezo kutoka vyombo mbalimbali nchini (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam  kuhusu utaratibu wa ujio wa Rais  FIFA na CAF nchini mwezi huu kwa ajili ya kufanya mkutano wa kujalili agenda za mkutano mkuu wa FIFA,na Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw.Yusuph Singo kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo.
Na Anitha Jonas – WHUSM


Hivyo makala Serikali na TFF yakutana na Wahariri wa Michezo kujadili Maandalizi ya Ujio wa Rais wa FIFA na CAF

yaani makala yote Serikali na TFF yakutana na Wahariri wa Michezo kujadili Maandalizi ya Ujio wa Rais wa FIFA na CAF Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Serikali na TFF yakutana na Wahariri wa Michezo kujadili Maandalizi ya Ujio wa Rais wa FIFA na CAF mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/02/serikali-na-tff-yakutana-na-wahariri-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Serikali na TFF yakutana na Wahariri wa Michezo kujadili Maandalizi ya Ujio wa Rais wa FIFA na CAF"

Post a Comment