Mbunge mstaafu wa Kilombero Mhe. Abdul Rajabu Mteketa apelekwa Muhimbili kutibiwa

Mbunge mstaafu wa Kilombero Mhe. Abdul Rajabu Mteketa apelekwa Muhimbili kutibiwa - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mbunge mstaafu wa Kilombero Mhe. Abdul Rajabu Mteketa apelekwa Muhimbili kutibiwa, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mbunge mstaafu wa Kilombero Mhe. Abdul Rajabu Mteketa apelekwa Muhimbili kutibiwa
kiungo : Mbunge mstaafu wa Kilombero Mhe. Abdul Rajabu Mteketa apelekwa Muhimbili kutibiwa

soma pia


Mbunge mstaafu wa Kilombero Mhe. Abdul Rajabu Mteketa apelekwa Muhimbili kutibiwa

Mbunge mstaafu wa Kilombero Mhe. Abdul Rajabu Mteketa amepelekwa hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaa kwa matibabu, baada ya Jumamosi Februari 11, 2018 kuomba msaada wa kupatiwa matibabu ya upasuaji wa magoti yake. 
Mbunge huyo aliyetumikia jimbo la Kilombero baada ya kushinda katika uchaguzi mkuu mwaka 2010, alitumia njia ya video mtandaoni kupeleka ujumbe kwa Rais na jana Jumapili gari la wagonjwa lilifika na kumchukua kumpeleka Muhimbili. Video ya kwanza inamuonesha Mhe. Mteketa akiomba msaada, unafuatia ukurasa wa Facebook wa mkewe unaomshukuru Rais kwa msaada huku ukisisitiza kuwa wao wasingeweza. Video ya pili inamuonesha mhusika akishukuru akiwa ndani ya gari la wagonjwa.



Hivyo makala Mbunge mstaafu wa Kilombero Mhe. Abdul Rajabu Mteketa apelekwa Muhimbili kutibiwa

yaani makala yote Mbunge mstaafu wa Kilombero Mhe. Abdul Rajabu Mteketa apelekwa Muhimbili kutibiwa Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mbunge mstaafu wa Kilombero Mhe. Abdul Rajabu Mteketa apelekwa Muhimbili kutibiwa mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/02/mbunge-mstaafu-wa-kilombero-mhe-abdul.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mbunge mstaafu wa Kilombero Mhe. Abdul Rajabu Mteketa apelekwa Muhimbili kutibiwa"

Post a Comment