Matukio : Naibu Spika Tulia na Lusinde Wongoza Wabunge Kumnadi Mtulia

Matukio : Naibu Spika Tulia na Lusinde Wongoza Wabunge Kumnadi Mtulia - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Matukio : Naibu Spika Tulia na Lusinde Wongoza Wabunge Kumnadi Mtulia, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Matukio : Naibu Spika Tulia na Lusinde Wongoza Wabunge Kumnadi Mtulia
kiungo : Matukio : Naibu Spika Tulia na Lusinde Wongoza Wabunge Kumnadi Mtulia

soma pia


Matukio : Naibu Spika Tulia na Lusinde Wongoza Wabunge Kumnadi Mtulia






Mbunge wa Mtela ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM Livingstone Lusinde ‘Kibajaj’ akimnadi mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mdogo jimbo la Kinondoni Said Mtulia katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika Viwanja vya Shule ya msingi Tandale jijini Dar es Salaam.(PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO)
Mbunge wa Mtela ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM Livingstone Lusinde akihutubia wananchi wakati akimnadi mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mdogo jimbo la Kinondoni Said Mtulia katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika Viwanja vya Shule ya msingi Tandale jijini Dar es Salaam.
Naibu Spika wa Bunge Dk.Tulia Akson akimuombea kura Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Kinondoni Said Mtulia katika Mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika Viwanja vya Shule ya Msingi Tandale jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Kate Kamba akimuombea kura mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Kinondoni Saidi Maulidi Mtulia katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika Viwanja vya shule ye msingi Tandale jijini Dar es Salaam

Mbunge wa Mtela ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM Livingstone Lusinde ‘Kibajaj’ akipanda jukwaani kumnadi mgombea ubunge wa CCM Said Mauli Mtulia katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika katika Viwanja vya shule ya msingi Tandale jijini Dar es Salaam
Wananchi wakishangilia kwa hamasa wakati wa mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea wa CCM uliofanyika leo katika viwanja vya shule ya msingi Tandale jijini Dar es Salaam
Mbunge wa zamani wa Kinondoni ambaye ni Meneja wa kampeni za uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika jimbo hilo Iddi Azani akisalimia wananchi baada ya kuitwa jukwaani na Msemaji Mkuu katika mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea ubunge jimbo la Kinondoni Saidi Mtulia uliofanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi ya Tandale
Wananchi wakishangilia katika mkutano wa kampeni za ubunge za CCM uliofanyika katika Viwanja vya Shule ya Tandale jijini Dar es Salaam, leo
Baadhi ya wabunge wa CCM na wageni waalikwa wakiwa kwenye mkutano huo
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam kate Kamba (katikati) akiwa na baadhi ya wabunge wa CCM waliohudhuria mkutano wa kampeni za CCM za kumnadi mtulia katika viwanja vya Sule ya msingi Tandale
Naibu Spika wa Bunge Tulia Akson akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kinondoni katika Mkutano wa kampeni hizo za kumnadi mfgombea ubunge jimbo la Kinondon Said Mtulia (kushoto)
Baadhi ya Wabunge wa CCM wakiwa kwenye mkutano huo


Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCm katika Jimbo la Kinondoni said Mtulia akipanda jukwaani
Mgombea ubunge katika jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM said Mtulia na Msemaji Mkuu katika mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vya shule ya Tandale Mbunge wa Mtela na Mjumbe wa halmashauri Kuu ya CCM Livingstone Lusinde ‘Kibajaj) akicheza wimbo wa CCM baada ya Mtulia kupanda jukwaani
Naibu Spika wa Bunge Dk Tulia Akson (kushoto) akiungana na Mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM said Mtulia (katikati) wakati wa mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea huyo zilizofanyika kwenye Viwanja vya shule ya msingi tandale jijini Dar es Salaam. Wapili kulia ni Mbunge wa Mtela na mjumbe wa halmashauri Kuu ya CCM Lusinde
Mbunge wa Mtera ambaye pia ni Mjumbea wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM Livingstone Lusinde akihutubia wananchi wakati akimnadi mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mdogo jimbo la Kinondoni said Mtulia katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika Viwanja vya Shule ya msingi Tandale jijini Dar es Salaam.

Mbunge wa Mtela ambaye pia ni Mjumbea wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM Livingstone Lusinde akihutubia wananchi wakati akimnadi mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mdogo jimbo la Kinondoni said Mtulia katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika Viwanja vya Shule ya msingi Tandale jijini Dar es Salaam.


Hivyo makala Matukio : Naibu Spika Tulia na Lusinde Wongoza Wabunge Kumnadi Mtulia

yaani makala yote Matukio : Naibu Spika Tulia na Lusinde Wongoza Wabunge Kumnadi Mtulia Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Matukio : Naibu Spika Tulia na Lusinde Wongoza Wabunge Kumnadi Mtulia mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/02/matukio-naibu-spika-tulia-na-lusinde.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Matukio : Naibu Spika Tulia na Lusinde Wongoza Wabunge Kumnadi Mtulia"

Post a Comment