Matukio : Kaimu Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje Akutana kwa Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Afrika kutoka Canada

Matukio : Kaimu Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje Akutana kwa Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Afrika kutoka Canada - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Matukio : Kaimu Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje Akutana kwa Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Afrika kutoka Canada, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Matukio : Kaimu Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje Akutana kwa Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Afrika kutoka Canada
kiungo : Matukio : Kaimu Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje Akutana kwa Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Afrika kutoka Canada

soma pia


Matukio : Kaimu Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje Akutana kwa Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Afrika kutoka Canada



Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Ramadhan M. Mwinyi akizungumza na Mkurugenzi Mkuu anayeshughulikia masuala ya Kusini na Mashariki mwa Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Canada, Bw. Marc-André Fredelte. Katika mazungumzo yao walijadili masuala ya ushirikiano katika masuala ya diplomasia, biashara na maendeleo. Bw. Fredelte yupo nchini kwa ziara ya kikazi.


Ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ukifuatilia mazungumzo kati ya Balozi Mwinyi na Bw. Fredelte (hayupo pichani). Kutoka kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika, Bw. Salvator Mbilinyi, Bw. Mustafa M. Ussi, Afisa Mambo ya Nje na Bi. Lilian Kimaro, Afisa Mambo ya Nje


Mazungumzo yakiendelea


Balozi Mwinyi akiagana na Bw. Fredelte baada ya kumaliza mazungumzo yao


Picha ya pamoja


Hivyo makala Matukio : Kaimu Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje Akutana kwa Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Afrika kutoka Canada

yaani makala yote Matukio : Kaimu Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje Akutana kwa Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Afrika kutoka Canada Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Matukio : Kaimu Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje Akutana kwa Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Afrika kutoka Canada mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/02/matukio-kaimu-katibu-mkuu-wa-mambo-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Matukio : Kaimu Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje Akutana kwa Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Afrika kutoka Canada"

Post a Comment