JENERALI MABEYO AWATAKA WACHEZAJI WA GOFU LUGALO KUREJESHA HESHIMA KWA KUWA VINARA WA MCHEZO HUO

JENERALI MABEYO AWATAKA WACHEZAJI WA GOFU LUGALO KUREJESHA HESHIMA KWA KUWA VINARA WA MCHEZO HUO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa JENERALI MABEYO AWATAKA WACHEZAJI WA GOFU LUGALO KUREJESHA HESHIMA KWA KUWA VINARA WA MCHEZO HUO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : JENERALI MABEYO AWATAKA WACHEZAJI WA GOFU LUGALO KUREJESHA HESHIMA KWA KUWA VINARA WA MCHEZO HUO
kiungo : JENERALI MABEYO AWATAKA WACHEZAJI WA GOFU LUGALO KUREJESHA HESHIMA KWA KUWA VINARA WA MCHEZO HUO

soma pia


JENERALI MABEYO AWATAKA WACHEZAJI WA GOFU LUGALO KUREJESHA HESHIMA KWA KUWA VINARA WA MCHEZO HUO

Na Luteni Selemani Semunyu JWTZ
MKUU  wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo amewataka wachezaji wa Gofu wa Klabu ya Jeshi ya Lugalo kuhakikisha wanarejesha heshma ya jeshi kwa kuwa kinara katika michezo na kuzalisha wachezaji bora wanaowakilisha nchi kimataifa.

Aliyasema hayo Makao Makuu ya Jeshi Upanga  jijini Dar es Salaam  wakati akiagana na wachezaji Sita wa Gofu wanaotarajia kuwakilisha nchi katika michuano ya wazi ya wanawake nchini  Nigeria IBB Ladies Open Championship  2018 yanayaotarajia kufanyika hivi karibuni.

Jenerali Mabeyo amesema kama ilivyokuwa katika michezo ya iiadha na ngumi sasa tunataka na kwenye gofu na kwa kuanza ni timu hii ya Gofu ya Wanawake kuhakikisha inarudi na ushindi mnono.

“ Nikiwa mlezi wa Klabu naamini mtatuwakilisha vyema na Jeshi kwa ujumla tutaendelea kuwaunga mkono wachezaji  wa Gofu na hata Michezo mingine kuhakikisha jeshi linaendelea kuwa kinara w michezo nchini na kuwa chachu kwa wengine,” alisema  Jenerali Mabeyo.
 Mkuu wa  Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo  akimkabidhi Bendera  ya taifa Nahodha wa Timu ya Wanawake ya Klabu ya Gofu ya jeshi la ulinzi la  Wananchi wa tanzania ya Lugalo inayotarajia kushiriki mashindano ya Wazi ya Wanawake ya IBB  nchini Nigeria Hivi karibuni ( Picha na Luteni Selemani Semunyu).
 Mkuu wa  Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo  akisalimiana na Wachezaji wa Timu ya Wanawake ya Klabu ya Gofu ya jeshi la ulinzi la  Wananchi wa Tanzania ya Lugalo inayotarajia kushiriki mashindano ya Wazi ya Wanawake ya IBB  nchini Nigeria Hivi karibuni.
 Mkuu wa  Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo  akiwa katika Picha ya Pamoja na Wachezaji na Viongozi wa  Klabu ya Gofu ya jeshi la ulinzi la  Wananchi wa Tanzania ya Lugalo Wakuu wa Matawi na Wachezaji wanaotarajia kushiriki mashindano ya Wazi ya Wanawake ya IBB  nchini Nigeria hivi karibuni.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala JENERALI MABEYO AWATAKA WACHEZAJI WA GOFU LUGALO KUREJESHA HESHIMA KWA KUWA VINARA WA MCHEZO HUO

yaani makala yote JENERALI MABEYO AWATAKA WACHEZAJI WA GOFU LUGALO KUREJESHA HESHIMA KWA KUWA VINARA WA MCHEZO HUO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala JENERALI MABEYO AWATAKA WACHEZAJI WA GOFU LUGALO KUREJESHA HESHIMA KWA KUWA VINARA WA MCHEZO HUO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/02/jenerali-mabeyo-awataka-wachezaji-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "JENERALI MABEYO AWATAKA WACHEZAJI WA GOFU LUGALO KUREJESHA HESHIMA KWA KUWA VINARA WA MCHEZO HUO"

Post a Comment