YAWALIMWENGU:MGANGA WA KIENYEJI AJIUA BAADA YA KUKOSA WATEJA

YAWALIMWENGU:MGANGA WA KIENYEJI AJIUA BAADA YA KUKOSA WATEJA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa YAWALIMWENGU:MGANGA WA KIENYEJI AJIUA BAADA YA KUKOSA WATEJA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : YAWALIMWENGU:MGANGA WA KIENYEJI AJIUA BAADA YA KUKOSA WATEJA
kiungo : YAWALIMWENGU:MGANGA WA KIENYEJI AJIUA BAADA YA KUKOSA WATEJA

soma pia


YAWALIMWENGU:MGANGA WA KIENYEJI AJIUA BAADA YA KUKOSA WATEJA

Wakazi wa eneo la Maili Saba katika Jimbo la Trans Nzoia wamepigwa na butwaa baada ya mganga Joshua Shalongo kujiua kwa sababu ya kukosa wateja na hali ngumu ya maisha.

Shalongo ambaye ni mganga maarufu katika eneo la Kitale nchini Kenya inasemekana suala la kukosa wateja lilimtatiza sana kiasi cha kuchukua uamuzi wa kujiua.

Mwili wake umepatikana ukining’inia kwenye paa la nyumba ukiwa umefungwa kamba taarifa hii imeripotiwa katika jarida la Citizen’s Edaily.

Chief wa eneo hilo Esther Waswa amethibitisha tukio la mganga huyo kujiua.


Hivyo makala YAWALIMWENGU:MGANGA WA KIENYEJI AJIUA BAADA YA KUKOSA WATEJA

yaani makala yote YAWALIMWENGU:MGANGA WA KIENYEJI AJIUA BAADA YA KUKOSA WATEJA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala YAWALIMWENGU:MGANGA WA KIENYEJI AJIUA BAADA YA KUKOSA WATEJA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/yawalimwengumganga-wa-kienyeji-ajiua.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "YAWALIMWENGU:MGANGA WA KIENYEJI AJIUA BAADA YA KUKOSA WATEJA"

Post a Comment