YANGA NI TIMU NZURI, TUTAINGIA KWA UMAKINI MKUBWA- KOCHA AZAM

YANGA NI TIMU NZURI, TUTAINGIA KWA UMAKINI MKUBWA- KOCHA AZAM - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa YANGA NI TIMU NZURI, TUTAINGIA KWA UMAKINI MKUBWA- KOCHA AZAM, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : YANGA NI TIMU NZURI, TUTAINGIA KWA UMAKINI MKUBWA- KOCHA AZAM
kiungo : YANGA NI TIMU NZURI, TUTAINGIA KWA UMAKINI MKUBWA- KOCHA AZAM

soma pia


YANGA NI TIMU NZURI, TUTAINGIA KWA UMAKINI MKUBWA- KOCHA AZAM

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Aristica Cioaba amesema mchezo ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Yanga utakuwa mgumu na watacheza kwa umakini ili waibuke na ushindi.

Azam FC watakuwa wenyeji wa Yanga SC Jumamosi wiki hii Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam wakitoka kushinda 2-0 ugenini dhidi ya Tanzania Prisons Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya Jumapili.

Cioaba amesema Yanga ni moja ya timu kubwa nchini ikitoka kutwaa ubingwa wa ligi msimu uliopita na kudai kuwa wataingia uwanjani na kuonyesha uwezo mkubwa.

“Mechi itakuwa Chamazi, hautakuwa mchezo mwepesi nitakuwa na muda wa siku tatu wa maandalizi kwa kuwa nina safari ndefu sana na wachezaji wanauchovu kidogo lakini siku hizo tatu nitawaunganisha vema wachezaji na kujaribukufanya vizuri dhidi ya Yanga Chamazi, sihitaji kupoteza mchezo wowote hapo baadaye,”amesema.

Hadi sasa ikiwa imecheza mechi 14 za ligi, Azam FC imefanikiwa kuwa rekodi bora baada ya kutopoteza mchezo hata mmoja, ikiwa imeshinda mechi nane na sare sita ikiwa kileleni kwa pointi zake 30 ikiizidi mechi moja Simba ambayo ipo nafasi ya pili ikijikusanyia 29.


Hivyo makala YANGA NI TIMU NZURI, TUTAINGIA KWA UMAKINI MKUBWA- KOCHA AZAM

yaani makala yote YANGA NI TIMU NZURI, TUTAINGIA KWA UMAKINI MKUBWA- KOCHA AZAM Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala YANGA NI TIMU NZURI, TUTAINGIA KWA UMAKINI MKUBWA- KOCHA AZAM mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/yanga-ni-timu-nzuri-tutaingia-kwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "YANGA NI TIMU NZURI, TUTAINGIA KWA UMAKINI MKUBWA- KOCHA AZAM"

Post a Comment