Rais wa Zanzibar Dk. Shein Ameondoa Nchini Leo Kuanza Ziara ya Wiki Moja Nchi za Falme za Kiarabu

Rais wa Zanzibar Dk. Shein Ameondoa Nchini Leo Kuanza Ziara ya Wiki Moja Nchi za Falme za Kiarabu - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rais wa Zanzibar Dk. Shein Ameondoa Nchini Leo Kuanza Ziara ya Wiki Moja Nchi za Falme za Kiarabu, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Rais wa Zanzibar Dk. Shein Ameondoa Nchini Leo Kuanza Ziara ya Wiki Moja Nchi za Falme za Kiarabu
kiungo : Rais wa Zanzibar Dk. Shein Ameondoa Nchini Leo Kuanza Ziara ya Wiki Moja Nchi za Falme za Kiarabu

soma pia


Rais wa Zanzibar Dk. Shein Ameondoa Nchini Leo Kuanza Ziara ya Wiki Moja Nchi za Falme za Kiarabu








RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi,kabla ya kuaza ziara yake katika Nchi za Falme za Kiarabu wakiwa katika chumba cha VIP Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amaan Karume Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na UsaIama Zanzibar wakati wa kuondoa Zanzibar kuaza ziara yake ya Kiserikali katika Nchi za Falme za Nchi za Kiarabu.


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na Wazee wa CCM Zanzibar katika Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, kuaza ziara yake ya Wiki moja katika Nchi za Falma za Kiarab.

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja. Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanziba

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, wakati akiondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar kuaza ziara yake ya Kiserikali katika Nchi za Falme za Kiarabu.

Picha na Ikulu


Hivyo makala Rais wa Zanzibar Dk. Shein Ameondoa Nchini Leo Kuanza Ziara ya Wiki Moja Nchi za Falme za Kiarabu

yaani makala yote Rais wa Zanzibar Dk. Shein Ameondoa Nchini Leo Kuanza Ziara ya Wiki Moja Nchi za Falme za Kiarabu Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Rais wa Zanzibar Dk. Shein Ameondoa Nchini Leo Kuanza Ziara ya Wiki Moja Nchi za Falme za Kiarabu mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/rais-wa-zanzibar-dk-shein-ameondoa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Rais wa Zanzibar Dk. Shein Ameondoa Nchini Leo Kuanza Ziara ya Wiki Moja Nchi za Falme za Kiarabu"

Post a Comment