Rais Magufuli na Mkewe Wamemchangia Wastara Mil 15/= Za Matibabu - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rais Magufuli na Mkewe Wamemchangia Wastara Mil 15/= Za Matibabu, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
Rais Magufuli na Mkewe Wamemchangia Wastara Mil 15/= Za Matibabukiungo :
Rais Magufuli na Mkewe Wamemchangia Wastara Mil 15/= Za Matibabu
Rais Magufuli na Mkewe Wamemchangia Wastara Mil 15/= Za Matibabu

Ngusa Samike ambaye ni Katibu wa Rais akiwasilisha mchango wa Sh. milioni 15 kwa mwigizaji Wastara Juma kutoka kwa Rais John Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli kwa ajili ya matibabu.
Samike (wa pili kulia) akiwa na watangazaji wa kipindi cha SHILAWADU baada ya kumkabidhi Wastara fedha hiyo.
…Akiongea katika hafla hiyo.
Rais John Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wamechangia Sh. milioni 15 kwa ajili ya matibabu ya msanii Wastara Juma ambazo ziliwazilishwa na Katibu wa Rais, Ngusa Samike nyumbani kwa msanii huyo. Pia aliwasilisha mchango wa Sh. milioni moja na laki tisa kutoka kwa wasaidizi wa Rais.
PICHA/HABARI NA HILALY DAUDI/GPL
Hivyo makala Rais Magufuli na Mkewe Wamemchangia Wastara Mil 15/= Za Matibabu
yaani makala yote Rais Magufuli na Mkewe Wamemchangia Wastara Mil 15/= Za Matibabu Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Rais Magufuli na Mkewe Wamemchangia Wastara Mil 15/= Za Matibabu mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/rais-magufuli-na-mkewe-wamemchangia.html
Related Posts :
HII NI KUBWA ZAIDI, WATEJA HALOTEL KUONGEA BURE
Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Halotel Mhina Semwenda akiongea na waandishi wa Habari wakati wa uzinduzi wa Huduma mpya ya TOMATO PLUS ka… Read More...
Vivutio vya Utalii kutangazwa Malaysia, Ufilipino, Thailand na Indonesia
Dodoma, 11 Aprili 2019
Makampuni 20 ya Mawakala wa Utalii na Tiketi za ndege (Tour Operators & Travel Agents) pamoja na Waandishi wa … Read More...
MFUMO DUME, MILA KANDAMIZI CHANZO CHA UPOTEVU WA HAKI KWA WANAWAKE KWENYE KUMILIKI ARDHI-TAWLA TANGA
Mwanasheria wa Chama cha Wanasheria Mkoani Tanga (Tawla) Mwanaidi Kombo akisisitiza jambo wakati wa mafunzo ya sheria katika masuala ya ar… Read More...
SERIKALI YATOA TAHADHARI KUHUSU UGONJWA WA DENGUE NCHINI
Na WAJMW-DODOMA
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetoa tahadhari ya kuwepo kwa ugonjwa wa De… Read More...
TEITI KUZIDI KUSIMAMIA MISINGI YAKE YA UWAZI NA UWAJIBIKAJI
*Biteko azitaka kampuni za uchimbaji madini, taasisi za serikali na wachimbaji wadogo kufanya kazi na TEITI
Na Leandra Gabriel, Blogu ya J… Read More...
0 Response to "Rais Magufuli na Mkewe Wamemchangia Wastara Mil 15/= Za Matibabu"
Post a Comment