Mzee Majuto Afunguka Alivyokosa Kitanda Muhimbili

Mzee Majuto Afunguka Alivyokosa Kitanda Muhimbili - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mzee Majuto Afunguka Alivyokosa Kitanda Muhimbili, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mzee Majuto Afunguka Alivyokosa Kitanda Muhimbili
kiungo : Mzee Majuto Afunguka Alivyokosa Kitanda Muhimbili

soma pia


Mzee Majuto Afunguka Alivyokosa Kitanda Muhimbili

 Mzee Majuto Afunguka Alivyokosa Kitanda Muhimbili
Muigizaji Staa ndani ya Bongo Movie Mzee King Majuto  ameeleza ilivyokuwa mpaka akakosa kitanda katika Hospitali ya Taifa Muhimbili na ugonjwa unaomsumbua kwa sasa.
Majuto amesema ili mbidi arudi kulala Vingunguti saa nane usiku baada ya kukosa kitanda katika vyumba VIP ambapo wao walihitaji, pia ameeleza kuwa anaugua Tezi Dume na ameshafanya vipimo  ila anatakiwa arudi siku ya Jumanne kwa ajili ya kuangalia namna ya kupata matibabu zaidi.

“Ilikuwa nipumzike ila tulihitaji VIP sasa sijui tatizo lilikuwa nini au ndo haya mambo ya Ki-TZ mpaka uonyooshe mikono, askari wa pale alibishana na mke wangu mwisho akasema hakuna chumba ili Saa nane usiku tufanye utaratibu wa kurudi nyumbani, tatizo ni tezi dume,”-King Majuto


Hivyo makala Mzee Majuto Afunguka Alivyokosa Kitanda Muhimbili

yaani makala yote Mzee Majuto Afunguka Alivyokosa Kitanda Muhimbili Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mzee Majuto Afunguka Alivyokosa Kitanda Muhimbili mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/mzee-majuto-afunguka-alivyokosa-kitanda.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mzee Majuto Afunguka Alivyokosa Kitanda Muhimbili"

Post a Comment