Mwizi Baada ya Kukusanya Vitu Alivyotaka Kuiba Apitiwa na Usingizi Alala Kwenye Kochi

Mwizi Baada ya Kukusanya Vitu Alivyotaka Kuiba Apitiwa na Usingizi Alala Kwenye Kochi - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mwizi Baada ya Kukusanya Vitu Alivyotaka Kuiba Apitiwa na Usingizi Alala Kwenye Kochi, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mwizi Baada ya Kukusanya Vitu Alivyotaka Kuiba Apitiwa na Usingizi Alala Kwenye Kochi
kiungo : Mwizi Baada ya Kukusanya Vitu Alivyotaka Kuiba Apitiwa na Usingizi Alala Kwenye Kochi

soma pia


Mwizi Baada ya Kukusanya Vitu Alivyotaka Kuiba Apitiwa na Usingizi Alala Kwenye Kochi

 Mwizi Baada ya Kukusanya Vitu Alivyotaka Kuiba Apitiwa na Usingizi Alala Kwenye Kochi
Hivi karibuni jeshi la Polisi nchini Ujerumani katika ukanda wa kati limemtia mbaroni mwanaume mmoja mwizi ambaye aliingia kwenye nyumba moja, akiwa na dhumuni la kuiba lakini baada ya kukusanya vitu anavyotaka kuondoka navyo, akapitiwa na usingizi kwenye sofa la ndani ya chumba cha mazoezi ya yoga katika nyumba hiyo.

Ilipofika asubuhi wenyeji wa nyumba hiyo walikuta mwizi huyo amelala kwenye kochi lao na vitu alivyotaka kuiba vikiwa tayari vimefungashwa na ndipo walipotaarifu polisi kuhusu tukio hilo.

Taarifa ya polisi ilieleza kuwa mwanaume huyo wa miaka 40 aliingia kwenye nyumba hiyo usiku akitaka kuiba na kueleza kuwa inawezekana alikuwa ametumia dawa za kulevya jambo lililomfanya ashindwe kutoka badala yake alale usingizi kwenye kochi hilo.


Hivyo makala Mwizi Baada ya Kukusanya Vitu Alivyotaka Kuiba Apitiwa na Usingizi Alala Kwenye Kochi

yaani makala yote Mwizi Baada ya Kukusanya Vitu Alivyotaka Kuiba Apitiwa na Usingizi Alala Kwenye Kochi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mwizi Baada ya Kukusanya Vitu Alivyotaka Kuiba Apitiwa na Usingizi Alala Kwenye Kochi mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/mwizi-baada-ya-kukusanya-vitu.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mwizi Baada ya Kukusanya Vitu Alivyotaka Kuiba Apitiwa na Usingizi Alala Kwenye Kochi"

Post a Comment