mvua kubwa yakwamisha safari barabara ya Dodoma-Morogoro

mvua kubwa yakwamisha safari barabara ya Dodoma-Morogoro - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa mvua kubwa yakwamisha safari barabara ya Dodoma-Morogoro, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : mvua kubwa yakwamisha safari barabara ya Dodoma-Morogoro
kiungo : mvua kubwa yakwamisha safari barabara ya Dodoma-Morogoro

soma pia


mvua kubwa yakwamisha safari barabara ya Dodoma-Morogoro

Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii Dodoma.
 Mvua Kubwa zinazoendelea kunyesha nchini zimesababisha adha Kubwa kwa watumiaji wa barabara  ya Dodoma -Morogoro kutokana na eneo kubwa la  barabarani kufunikwa na maji kuanzia Mtanana mpaka Kibaigwa. 
Maji hayo ambayo yamesababisha adha ya mabasi ya abiria na binafsi kushindwa kupita  kutokana na kufanya wasafiri kuendelea  kukaa hapo kwa zaidi ya Saa  nne kusubiri maji yapungue.
Wenyeji wa eneo hilo wamesema kuwa Maji hayo yamekuwa yakitoka milimani ambapo mvua zimenyesha kuanzia saa saba usiku













Hivyo makala mvua kubwa yakwamisha safari barabara ya Dodoma-Morogoro

yaani makala yote mvua kubwa yakwamisha safari barabara ya Dodoma-Morogoro Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala mvua kubwa yakwamisha safari barabara ya Dodoma-Morogoro mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/mvua-kubwa-yakwamisha-safari-barabara.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "mvua kubwa yakwamisha safari barabara ya Dodoma-Morogoro"

Post a Comment