DAWASCO WAANZA UKARABATI WA BOMBA VINGUNGUTI

DAWASCO WAANZA UKARABATI WA BOMBA VINGUNGUTI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DAWASCO WAANZA UKARABATI WA BOMBA VINGUNGUTI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DAWASCO WAANZA UKARABATI WA BOMBA VINGUNGUTI
kiungo : DAWASCO WAANZA UKARABATI WA BOMBA VINGUNGUTI

soma pia


DAWASCO WAANZA UKARABATI WA BOMBA VINGUNGUTI

Siku moja baada ya ziara ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kuagiza Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kuhakikisha mabomba ya barabara ya Buguruni kwa Mnyamani yanaanza kutengenezwa hatimaye Dawasco imechukua jukumu hilo. 

Kazi hiyo imeanza mapema Jana Jioni ikihusisha wataalamu waandamizi kutoka Dawasco kukagua na kuanza hatua za awali za ubadilishaji wa bomba kubwa lenye ukubwa wa inchi 10 na kuweka bomba jipya.
Hadi tunaenda mitamboni bado mafundi wa Dawasco walikuwa wakiendelea na kazi.


Hivyo makala DAWASCO WAANZA UKARABATI WA BOMBA VINGUNGUTI

yaani makala yote DAWASCO WAANZA UKARABATI WA BOMBA VINGUNGUTI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DAWASCO WAANZA UKARABATI WA BOMBA VINGUNGUTI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/dawasco-waanza-ukarabati-wa-bomba.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DAWASCO WAANZA UKARABATI WA BOMBA VINGUNGUTI"

Post a Comment