BEI YA MATUNDA SOKO LA MABIBO

BEI YA MATUNDA SOKO LA MABIBO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BEI YA MATUNDA SOKO LA MABIBO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BEI YA MATUNDA SOKO LA MABIBO
kiungo : BEI YA MATUNDA SOKO LA MABIBO

soma pia


BEI YA MATUNDA SOKO LA MABIBO

Na Chalila Kibuda, Globu ya jamii

WAFANYABIASHARA wa matunda katika Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam wamelezea bei mbalimbali za matunda wanayouza kwa wateja wao sokoni hapo.

Wakizungumza na Michuzi Blog jijini Dar es Salaam wafanyabiashara hao wametaja bei ya kila tunda na wanalouza.Bei hizo ni kama zinavyoonesha hapa. 
Bei ya Nanasi katika Soko la Mabibo linauzwa kati shilingi. 500 hadi shilingi 2000/=
Bei ya Embe sokoni hapo ni kati ya Shilingi 400 hadi Shilingi 600. 
Bei ya Embe ndogo ni Shilingi 300 hadi Shilingi 400 katika soko hilo. 
Bei ya Ndizi sokoni hapo inauzwa kati ya Shilingi 20,000 hadi Shilingi 35,000 kwa mkungu mmoja.
Bei ya Tikitikiti maji ni kati ya Shilingi 700 hadi Shilingi 2500. 
Bei ya Parachichi ni kati ya Shilingi 400 hadi Shilingi 1000.
Bei ya Ndizi Mbivu inauzwa kati ya Shilingi 150 hadi Shilingi 160 kwa bei ya jumla na rejareja. 
Bei ya Boga linauzwa kati ya Shilingi 1500 hadi shilingi 3500 kwa bei ya jumla na rejareja.


Hivyo makala BEI YA MATUNDA SOKO LA MABIBO

yaani makala yote BEI YA MATUNDA SOKO LA MABIBO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BEI YA MATUNDA SOKO LA MABIBO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/bei-ya-matunda-soko-la-mabibo_18.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "BEI YA MATUNDA SOKO LA MABIBO"

Post a Comment