SERIKALI KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU YAWAWEZESHA WANANCHI WA VIJIJI VYA CHILONWA NA MSANGA WILAYANI CHAMWINO KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA.

SERIKALI KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU YAWAWEZESHA WANANCHI WA VIJIJI VYA CHILONWA NA MSANGA WILAYANI CHAMWINO KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SERIKALI KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU YAWAWEZESHA WANANCHI WA VIJIJI VYA CHILONWA NA MSANGA WILAYANI CHAMWINO KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SERIKALI KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU YAWAWEZESHA WANANCHI WA VIJIJI VYA CHILONWA NA MSANGA WILAYANI CHAMWINO KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA.
kiungo : SERIKALI KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU YAWAWEZESHA WANANCHI WA VIJIJI VYA CHILONWA NA MSANGA WILAYANI CHAMWINO KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA.

soma pia


SERIKALI KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU YAWAWEZESHA WANANCHI WA VIJIJI VYA CHILONWA NA MSANGA WILAYANI CHAMWINO KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA.

  Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jinsia kutoka Idara Kuu ya Mendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sylivia Siriwa  akizungumza na wanakijiji wa vijiji vya Chilonwa na Msanga wakati wa Semina ya uwezeshaji wananchi kupambana na ukatili wa kijinsia katika muendelezo wa Siku 16 za Kupambana na Ukatili huo.
 Mwanasheria kutoka Idara Kuu Maendeleoya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bw. Denis Bashaka akitoa ufafanuzi wa masuala ya kisheria  na jinsi sheria inavyoweza kupambana na ukatili wa kijinsia kwa wanakijiji wa vijiji vya Chilonwa na Msanga Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma katika muendelezo wa Siku 16 za Kupambana na Ukatili huo. 
 Afisa Ustawi wa Jamii kutoka Idara ya Ustawi wa Jamii Idara kuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi.Amina Mafita akielezea nafasi na wajibu wa maafisa Ustawi wa Jamii katika katika kuisaidia jamii kupambana na ukatili wa kijinsia katika maeneo yao kwenye Semina na kuwawezesha wananchi wa vijiji vya Chilonwa na Msanga Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma kupambana na ukatili wa kijinsia katika muendelezo wa Siku 16 za Kupambana na Ukatili huo.
 Wananchi wa vijiji vya Chilonwa na Msanga Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa na Wataalam kutoka Serikalini na Mashirika Yasiyoya Kiserikali jinsi ya  kupambana na ukatili wa kijinsia katika muendelezo wa Siku 16 za Kupambana na Ukatili huo.  Picha na Kitengo cha Mawasiliano WAMJW

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala SERIKALI KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU YAWAWEZESHA WANANCHI WA VIJIJI VYA CHILONWA NA MSANGA WILAYANI CHAMWINO KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA.

yaani makala yote SERIKALI KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU YAWAWEZESHA WANANCHI WA VIJIJI VYA CHILONWA NA MSANGA WILAYANI CHAMWINO KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SERIKALI KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU YAWAWEZESHA WANANCHI WA VIJIJI VYA CHILONWA NA MSANGA WILAYANI CHAMWINO KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/12/serikali-kwa-kushirikiana-na-wadau.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SERIKALI KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU YAWAWEZESHA WANANCHI WA VIJIJI VYA CHILONWA NA MSANGA WILAYANI CHAMWINO KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA."

Post a Comment