Mwanamke Auwawa Kikatili kwa Kuchomwa Moto Hadi Kufa Baada ya Kukataa Kuchumbiwa

Mwanamke Auwawa Kikatili kwa Kuchomwa Moto Hadi Kufa Baada ya Kukataa Kuchumbiwa - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mwanamke Auwawa Kikatili kwa Kuchomwa Moto Hadi Kufa Baada ya Kukataa Kuchumbiwa, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mwanamke Auwawa Kikatili kwa Kuchomwa Moto Hadi Kufa Baada ya Kukataa Kuchumbiwa
kiungo : Mwanamke Auwawa Kikatili kwa Kuchomwa Moto Hadi Kufa Baada ya Kukataa Kuchumbiwa

soma pia


Mwanamke Auwawa Kikatili kwa Kuchomwa Moto Hadi Kufa Baada ya Kukataa Kuchumbiwa

Mwanamke Auwawa Kikatili kwa Kuchomwa Moto Hadi Kufa Baada ya Kukataa Kuchumbiwa
Mwanamke mmoja ajulikanaye kama Sandhya Rani mwenye umri wa miaka 25 huko Kusini mwa nchini India ameuawa kwa kuchomwa moto na mpenzi wake baada ya kukataa kuchumbiwa naye.

Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi katika jimbo hilo, mashuhuda wa tukio hilo wanasema waliona mwanaume huyo akifuata mwanamke huyo na wakaanza kuzungumza kwa kubishana na ndipo mwanaume huyo alipochukua mafuta ya taa aliyokuwa ametembea nayo na kummwagia binti huyo kisha kumuwasha moto.

Inaelezwa kuwa watu walijaribu kumwokoa binti huyo lakini alikuwa ameungua sana na alifariki akiwa njiani akipelekwa hospitali. 
Inaelezwa pia kuwa wawili hao wamewahi kufanya kazi ofisi moja. Polisi jimboni humo tayari wamemkamata mwanaume huyo aliyetambulishwa kwa jina la Karthika Vanga.


Hivyo makala Mwanamke Auwawa Kikatili kwa Kuchomwa Moto Hadi Kufa Baada ya Kukataa Kuchumbiwa

yaani makala yote Mwanamke Auwawa Kikatili kwa Kuchomwa Moto Hadi Kufa Baada ya Kukataa Kuchumbiwa Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mwanamke Auwawa Kikatili kwa Kuchomwa Moto Hadi Kufa Baada ya Kukataa Kuchumbiwa mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/12/mwanamke-auwawa-kikatili-kwa-kuchomwa.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Mwanamke Auwawa Kikatili kwa Kuchomwa Moto Hadi Kufa Baada ya Kukataa Kuchumbiwa"

Post a Comment