title : MBUNGE RITTA KABATI KUKARABATI SHULE YA MSINGI KIHESA
kiungo : MBUNGE RITTA KABATI KUKARABATI SHULE YA MSINGI KIHESA
MBUNGE RITTA KABATI KUKARABATI SHULE YA MSINGI KIHESA
Na Fredy Mgunda,Iringa.
Mbunge wa viti maalam mkoa wa Iringa kupitia chama cha mapinduzi (CCM) Ritta Kabati amefanya ziara kwenye baadhi ya shule za msingi za manispaa ya Iringa kwa lengo la kubaini changamoto zilizopo na kuanza kuzitafutia ufumbuzi kwa lengo la kuboresha mazingira ya wanafunzi kusomea.
Akizungumza mara baada ya kumaliza zira hiyo ya wiki moja Kabati alisema kuwa amefanya ziara katika shule ya msingi Kihesa,Igereke,Mtwira na shule ya Kibwabwa na kubaini changamoto nyingi ambazo anaanza kuzitafutia ufumbuzi hivi karibuni.
“Nimejionea mwenyewe changamoto zilizopo na naona kama changamoto kwa asilimia kubwa zinafanana hivyo ni kazi yangu kuanza kutafuta njia ya kuanza kuzitatua changamoto hizo”alisema Kabati.
Hivyo makala MBUNGE RITTA KABATI KUKARABATI SHULE YA MSINGI KIHESA
yaani makala yote MBUNGE RITTA KABATI KUKARABATI SHULE YA MSINGI KIHESA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MBUNGE RITTA KABATI KUKARABATI SHULE YA MSINGI KIHESA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/12/mbunge-ritta-kabati-kukarabati-shule-ya.html
0 Response to "MBUNGE RITTA KABATI KUKARABATI SHULE YA MSINGI KIHESA"
Post a Comment