title : Makamu wa Rais ahamia Dodoma rasmi
kiungo : Makamu wa Rais ahamia Dodoma rasmi
Makamu wa Rais ahamia Dodoma rasmi
Makamu wa Rais, Samia Suluhu leo Ijumaa Desemba 15 amehamia rasmi makao makuu ya nchi ikiwa ni mwendelezo wa Serikali ya Awamu ya Tano kuhamia Dodoma.
Akizungumza mara baada ya kuwasili nyumbani kwake Kilimani mjini Dodoma, Samia ameomba wananchi wa mkoa huo kuonyesha ushirikiano katika kufanya kazi ili kulisukuma gurudumu la maendeleo
"Nilikuwa hapa kwa muda mrefu kidogo lakini nilipangiwa kuhamia rasmi leo Desemba 15 na nimefurahi kwamba nitafanya kazi mahala pangu pa kazi pa kudumu," amesema Samia.
Amesema kauli mbiu yake kwa wakazi wa Dodoma ni kuufanya mji huo kuwa wa kijani hivyo Desemba 21 ataendesha mpango wa kupanda miti katika wilaya zote.
"Kwa kuwa nasimamia pia masuala ya mazingira nitaendesha zoezi hilo ili kurudisha hali ya Dodoma," ameongeza.
Hivyo makala Makamu wa Rais ahamia Dodoma rasmi
yaani makala yote Makamu wa Rais ahamia Dodoma rasmi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Makamu wa Rais ahamia Dodoma rasmi mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/12/makamu-wa-rais-ahamia-dodoma-rasmi.html
0 Response to "Makamu wa Rais ahamia Dodoma rasmi"
Post a Comment