Makamu wa Rais afunga maadhimisho ya siku ya maadili na haki za binadamu kitaifa

Makamu wa Rais afunga maadhimisho ya siku ya maadili na haki za binadamu kitaifa - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Makamu wa Rais afunga maadhimisho ya siku ya maadili na haki za binadamu kitaifa, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Makamu wa Rais afunga maadhimisho ya siku ya maadili na haki za binadamu kitaifa
kiungo : Makamu wa Rais afunga maadhimisho ya siku ya maadili na haki za binadamu kitaifa

soma pia


Makamu wa Rais afunga maadhimisho ya siku ya maadili na haki za binadamu kitaifa

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa kwenye Viwanja vya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere mjini Dodoma. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipata maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw. Bahame Tom Nyanduga (kulia) alipotembelea banda lao wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa kwenye Viwanja vya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere mjini Dodoma. 
 Sehemu ya wahudhuriaji wa kilele cha maadhimisho ya siku ya Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa yaliyofanyika kwenye viwanja vya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere mjini Dodoma.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya  Ndugu Rodgers William Sianga wakati akiwasili kwenye kilele cha maadhimisho ya siku Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa kwenye Viwanja vya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere mjini Dodoma. 

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw. Bahame Tom Nyanduga wakati akiwasili kwenye kilele cha maadhimisho ya siku Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa kwenye Viwanja vya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere mjini Dodoma. 


Hivyo makala Makamu wa Rais afunga maadhimisho ya siku ya maadili na haki za binadamu kitaifa

yaani makala yote Makamu wa Rais afunga maadhimisho ya siku ya maadili na haki za binadamu kitaifa Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Makamu wa Rais afunga maadhimisho ya siku ya maadili na haki za binadamu kitaifa mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/12/makamu-wa-rais-afunga-maadhimisho-ya_11.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Makamu wa Rais afunga maadhimisho ya siku ya maadili na haki za binadamu kitaifa"

Post a Comment