Lukuvi Mgeni Rasmi mkutano wa Wataalam wa Ardhi Morogoro

Lukuvi Mgeni Rasmi mkutano wa Wataalam wa Ardhi Morogoro - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Lukuvi Mgeni Rasmi mkutano wa Wataalam wa Ardhi Morogoro, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Lukuvi Mgeni Rasmi mkutano wa Wataalam wa Ardhi Morogoro
kiungo : Lukuvi Mgeni Rasmi mkutano wa Wataalam wa Ardhi Morogoro

soma pia


Lukuvi Mgeni Rasmi mkutano wa Wataalam wa Ardhi Morogoro


Na Heri Shaaban
Mwambawahabari
WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Wiliam LUKUVI anatarajia kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa mwaka wa Wataalam wa Ardhi wa Wataalam wa Ardhi waliowai kusoma Chuo cha Ardhi Morogoro.
Akizungumza na waandishi wa Habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Wataalam Waliowai kusoma Cha Ardhi Morogoro, Salum Shaka ,alisema mkutano huo unatarajia kufanyika machi  2018 lengo la mkutano huo ni mwendelezo wa mikutano ya Umoja huo ambayo inafanyika kila mwaka.

"Umoja wa Wataalam wa Chuo cha Ardhi Morogoro tumeweka utaratibu kila mwisho wa mwaka kufanya tathimini na kujadili Maendeleo ya Umoja wetu " alisema Shaka.


Salum alisema kongamano hilo mwaka huu linatarajia kupambwa na WAZIRI mwenye dhamana Wiriam LUKUVI katika viwanja vya vya Chuo hicho .

Aliwataka wataalam wote  ambao waliwai kusoma Chuo hicho  wajitokeze siku hiyo kuzungumza na WAZIRI wao katika viwanja vya Chuo.

" Siku hii ni maalum kwetu ambapo mwanzoni mwa machi  2018 tutakutana mambo mbali mbali ya Chuo yatajadiliwa kwa lengo la kupanua wigo  wataalam kwa wataalam kujenga uwezo katika utendaji wa majukumu yao  na kujenga weledi wakiwa kazini" alisema.

Alisema siku  hiyo ni maalum kwa kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu sekta ya ardhi.

Aidha alisema kwa sasa nchi yetu inaelekea Tanzania ya Viwanda na kauli mbiu siku hiyo" Ardhi ni msingi Mkuu kufikia azima ya Tanzania ya Viwanda"
Mwisho


Hivyo makala Lukuvi Mgeni Rasmi mkutano wa Wataalam wa Ardhi Morogoro

yaani makala yote Lukuvi Mgeni Rasmi mkutano wa Wataalam wa Ardhi Morogoro Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Lukuvi Mgeni Rasmi mkutano wa Wataalam wa Ardhi Morogoro mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/12/lukuvi-mgeni-rasmi-mkutano-wa-wataalam.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Lukuvi Mgeni Rasmi mkutano wa Wataalam wa Ardhi Morogoro"

Post a Comment