YALIYOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO NOVEMBA 10,2017

YALIYOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO NOVEMBA 10,2017 - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa YALIYOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO NOVEMBA 10,2017, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : YALIYOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO NOVEMBA 10,2017
kiungo : YALIYOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO NOVEMBA 10,2017

soma pia


YALIYOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO NOVEMBA 10,2017

 Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe.Azzan Zungu akiingia bungeni tayari kuongoza Mkutano wa tisa wa  kikao cha nne cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania leo Mjini  Dodoma.
 Wabunge wakiwa wamesimama wakati wa dua ya kuiombea nchi na bunge wakati wa Mkutano wa tisa wa  kikao cha nne cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania leo Mjini  Dodoma.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa umma na Utawala Bora Mhe.Capt(Mst) George Mkuchika akijibu maswali mbalimbali ya wabunge wakati  wa Mkutano wa Tisa wa kikao cha nne cha Bunge hilo leo Mkoani Dodoma.
 Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe.Jumaa Aweso akijibu hoja  mbalimbali ya wabunge wakati wa Mkutano wa tisa wa  kikao cha nne cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania leo Mjini  Dodoma.
 Naibu Waziri wa Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabula akijibu hoja  mbalimbali ya wabunge wakati wa Mkutano wa tisa wa  kikao cha nne cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania leo Mjini  Dodoma.
 Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Hamisi Kigwangalla akijibu hoja  mbalimbali ya wabunge wakati wa Mkutano wa tisa wa  kikao cha nne cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania leo Mjini  Dodoma.

 KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala YALIYOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO NOVEMBA 10,2017

yaani makala yote YALIYOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO NOVEMBA 10,2017 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala YALIYOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO NOVEMBA 10,2017 mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/yaliyojiri-bungeni-mjini-dodoma-leo.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "YALIYOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO NOVEMBA 10,2017"

Post a Comment