title : WAZIRI JENISTA ATEMBELEA VITUO VYA HALI YA HEWA ARUMERU
kiungo : WAZIRI JENISTA ATEMBELEA VITUO VYA HALI YA HEWA ARUMERU
WAZIRI JENISTA ATEMBELEA VITUO VYA HALI YA HEWA ARUMERU
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akizungumza jambo wakati wa mkutano na baadhi ya Watendaji wa Serikali alipofanya ziara Wilayani Arumeru kujionea Vituo vya Hali ya Hewa vinavyoratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Mradi wa Kuimarisha Taarifa za Hali ya Hewa na Mfumo wa Tahadhari Novemba 21, 2017.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akizungumza jambo wakati wa mkutano na baadhi ya Watendaji wa Serikali alipofanya ziara Wilayani Arumeru kujionea Vituo vya Hali ya Hewa vinavyoratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Mradi wa Kuimarisha Taarifa za Hali ya Hewa na Mfumo wa Tahadhari Novemba 21, 2017.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akiwa katika ziara na Baadhi ya Watendaji wa Serikali walioongozana naye kutembelea Vituo vya Hali ya Hewa vilivyofungwa na Mradi waKuimarisha Taarifa za Hali ya Hewa na Mfumo wa Tahadhari Arumeru.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akimsikiliza Mwikolojia Bi.Clara Manase alipokuwa akieleza faida ya kituo cha Utoaji wa Taarifa za Hali ya Hewa kilichojengwa katika Hifadhi ya Taifa ya Arusha mkoani Arusha.(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Hivyo makala WAZIRI JENISTA ATEMBELEA VITUO VYA HALI YA HEWA ARUMERU
yaani makala yote WAZIRI JENISTA ATEMBELEA VITUO VYA HALI YA HEWA ARUMERU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala WAZIRI JENISTA ATEMBELEA VITUO VYA HALI YA HEWA ARUMERU mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/waziri-jenista-atembelea-vituo-vya-hali.html
0 Response to "WAZIRI JENISTA ATEMBELEA VITUO VYA HALI YA HEWA ARUMERU"
Post a Comment