WABUNGE WAWAKILISHI WA JUKWAA LA KIBUNGE LA SADC WAKUTANA NA KUZUNGUMZA NA SPIKA JOB NDUGAI

WABUNGE WAWAKILISHI WA JUKWAA LA KIBUNGE LA SADC WAKUTANA NA KUZUNGUMZA NA SPIKA JOB NDUGAI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WABUNGE WAWAKILISHI WA JUKWAA LA KIBUNGE LA SADC WAKUTANA NA KUZUNGUMZA NA SPIKA JOB NDUGAI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WABUNGE WAWAKILISHI WA JUKWAA LA KIBUNGE LA SADC WAKUTANA NA KUZUNGUMZA NA SPIKA JOB NDUGAI
kiungo : WABUNGE WAWAKILISHI WA JUKWAA LA KIBUNGE LA SADC WAKUTANA NA KUZUNGUMZA NA SPIKA JOB NDUGAI

soma pia


WABUNGE WAWAKILISHI WA JUKWAA LA KIBUNGE LA SADC WAKUTANA NA KUZUNGUMZA NA SPIKA JOB NDUGAI

 Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Wabunge wawakilishi wa Jukwaa la kibunge la SADC (SADC Parliamentary Forum) wakiongozwa na Mjumbe wa kamati ya utendaji ya SADCPF, Mheshimiwa Selemani Zedi (wa pili kushoto), Mheshimiwa Jamal Ali (katikati), Mheshimiwa Esther Mmasi (wa pili kulia) na Mheshimiwa Magreth Sitta (kulia) katika kikao kilichofanyika leo ofisini kwake Mjini Dodoma.
Mjumbe wa kamati ya utendaji ya SADC PF, Mheshimiwa Selemani Zedi (wa pili kushoto) akizungumza pale Wabunge wawakilishi wa Jukwaa la kibunge la SADC (SADC Parliamentary Forum) walipokutana na Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto), Wengine ni Wajumbe wa Jukwaa hilo, Mheshimiwa Jamal Ali (katikati), Mheshimiwa Esther Mmasi (wa pili kulia) na Mheshimiwa Magreth Sitta (kulia). 

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)


Hivyo makala WABUNGE WAWAKILISHI WA JUKWAA LA KIBUNGE LA SADC WAKUTANA NA KUZUNGUMZA NA SPIKA JOB NDUGAI

yaani makala yote WABUNGE WAWAKILISHI WA JUKWAA LA KIBUNGE LA SADC WAKUTANA NA KUZUNGUMZA NA SPIKA JOB NDUGAI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WABUNGE WAWAKILISHI WA JUKWAA LA KIBUNGE LA SADC WAKUTANA NA KUZUNGUMZA NA SPIKA JOB NDUGAI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/wabunge-wawakilishi-wa-jukwaa-la.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WABUNGE WAWAKILISHI WA JUKWAA LA KIBUNGE LA SADC WAKUTANA NA KUZUNGUMZA NA SPIKA JOB NDUGAI"

Post a Comment