USAJILI VITAMBULISHO VYA TAIFA WAENDELEA MBEYA

USAJILI VITAMBULISHO VYA TAIFA WAENDELEA MBEYA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa USAJILI VITAMBULISHO VYA TAIFA WAENDELEA MBEYA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : USAJILI VITAMBULISHO VYA TAIFA WAENDELEA MBEYA
kiungo : USAJILI VITAMBULISHO VYA TAIFA WAENDELEA MBEYA

soma pia


USAJILI VITAMBULISHO VYA TAIFA WAENDELEA MBEYA

Mamlaka ya Vitambuisho vya Taifa (NIDA) inaendelea na zoezi la Usajili na Utambuzi wa watu mkoani Mbeya ambapo wananchi wengi wamejitokeza ambapo kwa sasa usajili unaoendelea niwa mkupuo (mass registration) ambapo wananchi wanakusanyika kwenye mitaa na vijiji wanakoishi kusajiliwa ambapo Usajili huo unahusisha ujazaji fomu, uchukuaji alama za vidole picha na saini ya kielektroniki. 

Akitoa elimu kwa umma kuhusu taratibu za Usajili mwakilishi wa kitengo cha Mawasiliano NIDA Bw. Deodatus Alexander Mchaki amesema zoezi hilo ni fursa ya kipekee kwa wananchi kutambuliwa na kusajiliwa.

Amesisitiza zoezi la usajili ni Bure na wananchi hawatakiwa kutozwa gharama zozote Ili kusajiliwa mwananchi ni lazima afike na nakala (photocopy) ya nyaraka/viambatisho vifuatavyo kuthibitisha Umri, Uraia na Makazi yake ikiwemo cheti cha kuzaliwa, Passport (Pasi ya kusafiria), Kadi ya kupigia kura, leseni ya udereva, ID ya Mzanzibar mkazi, TIN, Pasi ya kusafiria na vyeti vya elimu.
Wananchi wa Kata ya Mwakidete mtaa wa Mwakidete mkoani Mbeya wakiendelea na Usajili Vitambulisho vya Taifa.
Mmoja wa wananchi wa Mtaa wa Mwakidete akiweka saini kwenye mashine maalumu ya uchukuliaji alama za kibaiolojia, picha na saini ya kielektroniki.
Wanaoonekana kwenye picha ni Baadhi ya Maafisa Usajili wa NIDA wakiendelea na zoezi la kuwasajili wananchi wa Kata ya Mwakidete mkoani Mbeya. Kushoto ni Afisa Usajili Wilaya ya Mbeya Bi. Alavuya Ntalimwa akitabasamu jambo na wananchi wa Mtaa wa Mwakidete.
Mwananchi akichukuliwa alama za Vidole na afisa Usajili wa NIDA wakati zoezi la kuwasajili wanannchi likiendelea. 
Msururu wa wananchi wa Mtaa wa Mwakidete wakisubiri huduma ya usajili.



Hivyo makala USAJILI VITAMBULISHO VYA TAIFA WAENDELEA MBEYA

yaani makala yote USAJILI VITAMBULISHO VYA TAIFA WAENDELEA MBEYA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala USAJILI VITAMBULISHO VYA TAIFA WAENDELEA MBEYA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/usajili-vitambulisho-vya-taifa.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "USAJILI VITAMBULISHO VYA TAIFA WAENDELEA MBEYA"

Post a Comment