TUNDU LISSU AMPONGEZA NYALANDU KWA UJASIRI WA KUIPIGA CHINI CCM - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TUNDU LISSU AMPONGEZA NYALANDU KWA UJASIRI WA KUIPIGA CHINI CCM, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
TUNDU LISSU AMPONGEZA NYALANDU KWA UJASIRI WA KUIPIGA CHINI CCMkiungo :
TUNDU LISSU AMPONGEZA NYALANDU KWA UJASIRI WA KUIPIGA CHINI CCM
TUNDU LISSU AMPONGEZA NYALANDU KWA UJASIRI WA KUIPIGA CHINI CCM
Mbunge wa Singida Mashariki(Chadema), Tundu Lissu amempongeza aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki(CCM), Lazaro Nyalandu kwa kupata ujasiri wa kuchukua hatua kubwa ambayo hata wabunge wengi waliopo ndani ya CCM wanashindwa kuichukua.
Lissu ambaye yuko kwenye matibabu jijini Nairobi nchini Kenya amempongeza Nyalandu kwa kuwa ni alikuwa mbunge jirani yake na kuwa ujasiri wa kufanya hivyo.
Mbali na kumpongeza Nyalandu pia Lissu amezungumzia uchaguzi wa madiwani katika kata 43 akieleza kuwa kuwapa CCM kura katika kata hizo ni sawa na kukubaliana na yanayoendelea nchini.
“Kuwapa CCM kura sasa hivi ni sawa na kuwapa CCM mamlaka ya kutapanya mali zetu kama wanavyotaka,”amesema Lissu jana Jumanne akiwa jijini Nairobi.
Hivyo makala TUNDU LISSU AMPONGEZA NYALANDU KWA UJASIRI WA KUIPIGA CHINI CCM
yaani makala yote TUNDU LISSU AMPONGEZA NYALANDU KWA UJASIRI WA KUIPIGA CHINI CCM Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala TUNDU LISSU AMPONGEZA NYALANDU KWA UJASIRI WA KUIPIGA CHINI CCM mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/tundu-lissu-ampongeza-nyalandu-kwa.html
Related Posts :
WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA KONDOA WAPATA NEEMA
Na Peter Haule, WFM, Kondoa
WANAFUNZI wote 3,287 waliochaguliwa kujiunga Kidato cha Kwanza katika Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa Mkoani … Read More...
MECHI YA SIMBA NA JS SAOURA YAUSIMAMISHA MSAFARA WA NAIBU WAZIRI KWA MUDA
Msafara wa Naibu waziri wa Maji Jumaa Aweso waonyesha uzalendo kwa kuungana na mashabiki wa timu ya Simba na Taifa kwa ujumla, kutazama mec… Read More...
MBARAKA MWISHEHE: 40TH DEATH ANNIVERSARY OF THE MOST MULTI-TALENTED TANZANIAN MUSICIAN OF ALL TIME
1. Background:
Today, 12.1.2019, marks the 40th death anniversary of the one and only, MBARAKA MWARUKA MWISHEHE, the man himself, who trag… Read More...
SIMBA YAWALIZA WAARABU, YA PATA USHINDI MNONO .
bonizacharia.
Mchezo wa kwanza la ligi kuu ya Mabingwa barani Afrika leo tarehe Januari 12, 2018 umechezwa katika uwanja wa Taifa Jijin D… Read More...
TANZANIA YATAFUTA SOKO LA UTALII UHOLANZI
Balozi wa Tanzania nchini Uholanzi, Mhe. Irene Kasyanju (mwenye miwani) akiwa na washiriki wengine katika Maonesho ya Utalii ya Kimatai… Read More...
0 Response to "TUNDU LISSU AMPONGEZA NYALANDU KWA UJASIRI WA KUIPIGA CHINI CCM"
Post a Comment