SERIKALI YENDELEA KUIMARISHA MKAKATI WA KUPUNGUZA VIFO VYA WATOTO

SERIKALI YENDELEA KUIMARISHA MKAKATI WA KUPUNGUZA VIFO VYA WATOTO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SERIKALI YENDELEA KUIMARISHA MKAKATI WA KUPUNGUZA VIFO VYA WATOTO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SERIKALI YENDELEA KUIMARISHA MKAKATI WA KUPUNGUZA VIFO VYA WATOTO
kiungo : SERIKALI YENDELEA KUIMARISHA MKAKATI WA KUPUNGUZA VIFO VYA WATOTO

soma pia


SERIKALI YENDELEA KUIMARISHA MKAKATI WA KUPUNGUZA VIFO VYA WATOTO

 Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya akipokea vifaa kwa ajili ya kutolea huduma za matibabu kwa watoto njiti kutoka kwa Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania Mhe. Dkt. Detlef Wachter katika hafla ya maadhimisho ya siku ya mtoto njiti dunia iliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Vifaa hivyo vyenye gharama ya Euro 8,538.30 vimetolewa na Serikali ya Ujerumani kupitia Shirika la Kimataifa la Maendeleo  Ujerumani(GIZ) kupitia mradi wa kukabiliana vifo vya watoto wenye umri mdogo.
 Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya na Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania Mhe. Dkt. Detlef Wachter wakionyesha vifaa kwa ajili ya kutolea huduma za matibabu kwa watoto njiti katika hafla ya maadhimisho ya siku ya mtoto njiti dunia iliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Vifaa hivyo vyenye gharama ya Euro 8,538.30 vimetolewa na Serikali ya Ujerumani kupitia Shirika la Kimataifa la Maendeleo Ujerumani(GIZ) kwa ajili ya kusaidi Hospitali za Mikoa ya Mtwara na Lindi iliyo katika mradi wa kukabiliana vifo vya watoto wenye umri mdogo.


Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya na Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania Mhe. Dkt. Detlef Wachter wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watendaji wa Wizara ya Afya mara baada ya kumalizika kwa hafla ya maadhimisho ya siku ya mtoto njiti dunia iliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam. (Picha zote na: Frank Shija -MAELEZO).



Hivyo makala SERIKALI YENDELEA KUIMARISHA MKAKATI WA KUPUNGUZA VIFO VYA WATOTO

yaani makala yote SERIKALI YENDELEA KUIMARISHA MKAKATI WA KUPUNGUZA VIFO VYA WATOTO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SERIKALI YENDELEA KUIMARISHA MKAKATI WA KUPUNGUZA VIFO VYA WATOTO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/serikali-yendelea-kuimarisha-mkakati-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SERIKALI YENDELEA KUIMARISHA MKAKATI WA KUPUNGUZA VIFO VYA WATOTO"

Post a Comment