MWANJELWA AMUAGIZA MKURUGENZI KUMSIMAMISHA KAZI MSIMAMIZI WA ZAO LA PARETO KUPISHA UCHUNGUZI

MWANJELWA AMUAGIZA MKURUGENZI KUMSIMAMISHA KAZI MSIMAMIZI WA ZAO LA PARETO KUPISHA UCHUNGUZI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MWANJELWA AMUAGIZA MKURUGENZI KUMSIMAMISHA KAZI MSIMAMIZI WA ZAO LA PARETO KUPISHA UCHUNGUZI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MWANJELWA AMUAGIZA MKURUGENZI KUMSIMAMISHA KAZI MSIMAMIZI WA ZAO LA PARETO KUPISHA UCHUNGUZI
kiungo : MWANJELWA AMUAGIZA MKURUGENZI KUMSIMAMISHA KAZI MSIMAMIZI WA ZAO LA PARETO KUPISHA UCHUNGUZI

soma pia


MWANJELWA AMUAGIZA MKURUGENZI KUMSIMAMISHA KAZI MSIMAMIZI WA ZAO LA PARETO KUPISHA UCHUNGUZI



Na Mathias Canal, Mbeya



Naibu
Waziri Wa Wizara ya Kilimo Mhe Mary Mwanjelwa Jana Novemba 29, 2017 
amemuagiza Mkurugenzi Wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya kumsimamisha 
kazi Afisa Kilimo Wilaya ya Mbeya anayesimamia zao la Pareto Ndg 
Emmanuel Halinga ili kupisha uchunguzi.



Mhe
Naibu Waziri ametoa agizo hilo wakati wa Mkutano wa hadhara uliofanyika
katika Kijiji cha Jojo Kata ya Santilya akiwa kwenye ziara ya kikazi 
Katika Mikoa ya Nyanda za Juu kusini mwa Tanzania mara baada ya Mhe 
Mbunge wa Jimbo hilo Mhe Oran Njeza na Wananchi wote waliokuwepo kwenye 
mkutano huo wa hadhara kumrushia shutuma nzito na kumkataa mtaalamu huyo
wa kilimo mbele ya Naibu Waziri.




Alisema
kuwa pamoja na zao hilo la Pareto kuwa la kwanza kwa uzalishaji katika 
nchi za Afrika huku likiwa zao la pili kwa uzalishaji Duniani lakini 
bado halijamkomboa Mkulima nchini jambo ambalo linaonyesha namna ambavyo
baadhi ya wataalamu Wa Kilimo wameshindwa kutekeleza majukumu yao 
ipasavyo.



Alisema
kuwa wataalamu wa kilimo walipaswa kusimamia kwa kiasi kikubwa zao hilo
kwani Pato lake ni wastani wa tani 2000 kwa mwaka sawa na Bilioni 12 
mpaka 14 ambapo katika kipindi hili bei ya kuanzia Mkulima analipwa 
shilingi 2300 kwa kilo lakini inapanda mpaka shilingi 3300 kulingana na 
ubora wa zao hilo ambalo mkulima amelima.



Naibu Waziri Wa Wizara ya Kilimo Mhe Mary Mwanjelwa  akizungumza wakati wa Mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Jojo Kata ya Santilya akiwa kwenye ziara ya kikazi Katika Mikoa ya Nyanda za Juu kusini Kwa Tanzania, Jana Novemba 29, 2017. Picha zote Na Mathias Canal


Hivyo makala MWANJELWA AMUAGIZA MKURUGENZI KUMSIMAMISHA KAZI MSIMAMIZI WA ZAO LA PARETO KUPISHA UCHUNGUZI

yaani makala yote MWANJELWA AMUAGIZA MKURUGENZI KUMSIMAMISHA KAZI MSIMAMIZI WA ZAO LA PARETO KUPISHA UCHUNGUZI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MWANJELWA AMUAGIZA MKURUGENZI KUMSIMAMISHA KAZI MSIMAMIZI WA ZAO LA PARETO KUPISHA UCHUNGUZI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/mwanjelwa-amuagiza-mkurugenzi_30.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "MWANJELWA AMUAGIZA MKURUGENZI KUMSIMAMISHA KAZI MSIMAMIZI WA ZAO LA PARETO KUPISHA UCHUNGUZI"

Post a Comment