MJEA YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI WAISLAMU NCHINI

MJEA YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI WAISLAMU NCHINI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MJEA YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI WAISLAMU NCHINI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MJEA YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI WAISLAMU NCHINI
kiungo : MJEA YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI WAISLAMU NCHINI

soma pia


MJEA YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI WAISLAMU NCHINI


 Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Amana Bank, Bw. Bakari Kisuda  akizungumza na Waandishi wa Habari Waislamu jijini Dar es Salaam leo alipokuwa akifungua mafunzo maalum yaliyoandaliwa na Mtandao wa Waandishi wa Habari wa Kiislamu wa  Afrika ya Mashariki (MJEA) kwa kushirikiana na kampuni ya KO Innovates zimeendesha  mafunzo kwa waandishi wa habari wanaofanya kazi kwenye vyombo vya habari vya Kiislamu hapa nchini.
Mwenyekiti wa MJEA, ABUOBAKARI FAMAU,amesema kuwa lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo wa waandishi wa habari wanaotoka kwenye vyombo hivyo vya habari ili waweze kuendana na mazingira ya sasa ya tasnia ya habari.
FAMAU  ameongeza kuwa vyombo vya Kiislamu vina wajibu kubwa sana kwa jamii na hivyo kuna haja ya kukumbushana juu ya wajibu huo.
nae  Khadijah Omar amesema kuwa lengo la mafunzo hayo ni kuwakutanisha waandishi wa habari wa vyombo vya Kiislamu na kubadilishana uzoefu.
Zaidi ya washiriki 25 wamepatiwa mafunzo hayo ambayo yatafanyika Novemba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Tangaza House jijini Dar es Salaam.
  Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Amana Bank,Bakari Kisuda  akizungumza na Waandishi wa Habari Waislamu jijini Dar es Salaam leo alipokuwa akifungua mafunzo maalum yaliyoandaliwa na Mtandao wa Waandishi wa Habari wa Kiislamu wa  Afrika ya Mashariki (MJEA)
Waandishi wa Habari wa Mashirika ya Kislamu nchini wakifatilia hotuba ya mgeni Rasmi kwa makini


Hivyo makala MJEA YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI WAISLAMU NCHINI

yaani makala yote MJEA YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI WAISLAMU NCHINI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MJEA YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI WAISLAMU NCHINI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/mjea-yatoa-mafunzo-kwa-waandishi-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MJEA YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI WAISLAMU NCHINI"

Post a Comment