title : Maonesho ya Utalii wa Tanzania Saudi Arabia yalivyofana
kiungo : Maonesho ya Utalii wa Tanzania Saudi Arabia yalivyofana
Maonesho ya Utalii wa Tanzania Saudi Arabia yalivyofana
Maonyesho ya Utalii wa Tanzania yalivyofanyika mjini Riyadh nchini Saudi Arabia kwa watu mbalimbali kutembelea kwenye maonyesho hayo yaliyoandaliwa na Ubalozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia. Aidha Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia, H.E Hemed Mgaza yupo nchini Tanzania kwa ajili ya kupanda Mlima Kilimanjaro.
Maonyesho yakiendelea kwa wageni mbalimbali kuelezewa namna ya vivutio vya utalii wa Tanzania.
Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia, H.E Hemed Mgaza kushoto akiwa na mke wake, Maimuna Mgaza, wakiwa kwenye maonyesho hayo ya Utalii.
Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia, H.E Hemed Mgaza mwenye suti nyeusi mkono wa kushoto akijadiliana jambo na wageni wake waliotembelea katika maonyesho ya utalii yaliyoandaliwa na Ubalozi wa Tanzania nchini hapa.
Hapa maonyesho ya chakula yakiendelea mjini Riyadh, nchini Saudi Arabia.
Hivyo makala Maonesho ya Utalii wa Tanzania Saudi Arabia yalivyofana
yaani makala yote Maonesho ya Utalii wa Tanzania Saudi Arabia yalivyofana Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Maonesho ya Utalii wa Tanzania Saudi Arabia yalivyofana mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/maonesho-ya-utalii-wa-tanzania-saudi.html
0 Response to "Maonesho ya Utalii wa Tanzania Saudi Arabia yalivyofana"
Post a Comment