Kozi ya Makocha ZFA Wilaya ya Magharibi B Unguja Yafungwa.

Kozi ya Makocha ZFA Wilaya ya Magharibi B Unguja Yafungwa. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Kozi ya Makocha ZFA Wilaya ya Magharibi B Unguja Yafungwa., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Kozi ya Makocha ZFA Wilaya ya Magharibi B Unguja Yafungwa.
kiungo : Kozi ya Makocha ZFA Wilaya ya Magharibi B Unguja Yafungwa.

soma pia


Kozi ya Makocha ZFA Wilaya ya Magharibi B Unguja Yafungwa.

Na Abubakar Khatib Kisandu, Zanzibar.

Kozi ya makocha wa Mpira wa Miguu ngazi ya awali imefungwa leo Ijumaaa Novemba 3, 2017 saa 3.00 asubuhi kwenye Ukumbi wa ZFA Wilaya Magharibi B uliopo Mwanakwerekwe Ijitimai.

Katibu Mkuu wa ZFA Wilaya ya Magaharibi B Omar Abuu amewataka makocha 
29 waliyomaliza kozi hiyo kufundisha soka kwa uzalendo na si kuvikomo vilabu kwani mafanikio ya makocha hayaji kwa haraka.

Awali, Mkufunzi wa kozi hiyo anaetambuliwa na Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Nassra Juma amewapongeza Makocha hao huku akiwashukuru pia ZFA kwa kuandaa kozi hiyo.


Hivyo makala Kozi ya Makocha ZFA Wilaya ya Magharibi B Unguja Yafungwa.

yaani makala yote Kozi ya Makocha ZFA Wilaya ya Magharibi B Unguja Yafungwa. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Kozi ya Makocha ZFA Wilaya ya Magharibi B Unguja Yafungwa. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/kozi-ya-makocha-zfa-wilaya-ya-magharibi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Kozi ya Makocha ZFA Wilaya ya Magharibi B Unguja Yafungwa."

Post a Comment