BREAKING NEWZZZZ: Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amejiuzulu - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BREAKING NEWZZZZ: Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amejiuzulu, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
BREAKING NEWZZZZ: Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amejiuzulukiungo :
BREAKING NEWZZZZ: Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amejiuzulu
BREAKING NEWZZZZ: Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amejiuzulu
Spika wa bunge la Zimbabwe ametangaza leo kuwa Rais wa nchi hiyo Robert Mugabe amejiuzulu.Spika Jacob Mudenda alisema kuwa hatua hiyo ni ya kujitolea na amefanya hivyo ili kuweza kuwepo kwa mabadiliko ya amani ya mamlaka kulingana na chombo cha habari cha reuters.
Tangazo hilo la ghafla lilizuia harakati za bunge kutaka kumng'oa madarakani ambazo zilikuwa zimeanza dhidi yake.Kwa mujibu wa chombo cha habari cha Reuters, Spika wa bunge amesema kuwa kiongozi mpya atawekwa madarakani siku ya Jumatano.
Awali bwana Mugabe alikuwa amekataa kujiuzulu licha ya jeshi kuchukua mamlaka huku hatua hiyo ikifuatiwa na maadamano ya raia waliotaka kiongozi huyo kung'atuka mamlakani wiki hii. Amekuwa mamlakani tangu taifa hilo lijipatie uhuru wake 1980.Bwana Mugabe ameshinda uchaguzi wa urais mara kadhaa lakini katika kipindi cha miaka 15 iliopita shughuli hiyo imekumbwa na ghasia dhidi ya wapinzani wake.
Hivyo makala BREAKING NEWZZZZ: Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amejiuzulu
yaani makala yote BREAKING NEWZZZZ: Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amejiuzulu Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala BREAKING NEWZZZZ: Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amejiuzulu mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/breaking-newzzzz-rais-robert-mugabe-wa.html
Related Posts :
TFDA YAWANOA WASINDIKAJI WA CHAKULA MKOANI GEITA
Na,Joel Maduka,Geita.
Mamlaka ya Chakula na Dawa, TFDA imewakutanisha wajasiriamali wanaosindika chakula mkoani Geita na kutoa mafunzo yat… Read More...
Jaffo:Stawavumilia wakurugenzi na wenyeviti wa kamati za fedha ambao hawatatoa fedha za maendeleo
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Sulemani Jafo amesema hatawavumilia … Read More...
Kamati ya UN kutetea haki za Wapalestina yazungumza na Waziri Dk. MwakyembeaKAMATI maalum ya Umoja wa Mataifa (UN) iliyoundwa kutetea haki za msingi za raia wa Wapalestina imekutana na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sa… Read More...
MPINA AMSIMAMISHA KAZI MTUMISHI ALIYESHIRIKI UTOROSHAJI WA KILO 2500 ZA SAMAKI KWENDA BURUNDI ZENYE THAMANI YA SHILINGI 20,850,000.00Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mh. Luhaga Mpina amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Yohana Budeba kumsimamisha kazi mara moja Afisa wa Ki… Read More...
NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA NAIBU MKURUGENZI WA KAMATI YA MAMBO YA NJE YA BUNGE LA CHINA
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Susan Kolimba akizungumza na Naibu Mkurugenzi wa Kamati ya Mambo… Read More...
0 Response to "BREAKING NEWZZZZ: Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amejiuzulu"
Post a Comment