title : TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA WADAU WA BIMA AFRIKA
kiungo : TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA WADAU WA BIMA AFRIKA
TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA WADAU WA BIMA AFRIKA
Na Humphrey Shao,Globu ya Jamii
TANZANIA inataraji kuwa mwenyeji wa Semina ya siku tatu kwa Umoja wa Makampuni ya Bima Afrika kuhusu bima ya Maisha utakaofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa AICC Arusha.
akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam Mjumbe wa mkutano huo, Phaustine Oyuke amesema Tanzania kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) kwa kushirikiana na Umoja wa makampuni ya Bima Afrika (AIO),Chama cha watoa huduma za Bima Tanzania(TIBA) Itakuwa Mwenyeji wa mkutano wa biama ya Maisha 2017.
TANZANIA inataraji kuwa mwenyeji wa Semina ya siku tatu kwa Umoja wa Makampuni ya Bima Afrika kuhusu bima ya Maisha utakaofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa AICC Arusha.
akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam Mjumbe wa mkutano huo, Phaustine Oyuke amesema Tanzania kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) kwa kushirikiana na Umoja wa makampuni ya Bima Afrika (AIO),Chama cha watoa huduma za Bima Tanzania(TIBA) Itakuwa Mwenyeji wa mkutano wa biama ya Maisha 2017.
"Mkutano huu unafanyika kila mwaka ambapo mwaka huu nchi yetu imepewa heshima ya kuandaa ambapo mkutano huu utafanyika kuanzia tarehe 1 hadi 3 mwezi Novemba mwaka huu ambao utajikita katika dhima ya mchango wa sekta Bima katika Mapinduzi ya Viwanda na Maendeleo endelevu kutokana na malengo ya nchi yetu na serikali ya awamu ya tano"amesema Oyuke.
amesema kwa kuzingatia dhima hii masula mbalimbali yatajadiliwa ikiwa ni pamoja na misingi ya uendelezaji wa huduma za bima,ubunifu, na malengo endelevu katika sekta ya bima ambapo mada hizi zinalenga kujadili na kutoa ufumbuzi kwa changamoto zinazoikumba sekta ya bima nchini na Afrika kwa ujumla .
amesema TIRA kama msimamizi na mshauri wa serikali katika sekta ya na soko la bima inachukua fursa hii kuwaalika wadau wote katika sekta hii yaani makampuni ya Bima ,Madalali na Mawakala wa Bima nchini kutumia mkutano huu kama fursa adhimu kujifunza uendeshaji wa biashara ya bima .
Waandishi wa habari waliohudhulia mkutano juu masuala ya bima Afrika
Hivyo makala TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA WADAU WA BIMA AFRIKA
yaani makala yote TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA WADAU WA BIMA AFRIKA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA WADAU WA BIMA AFRIKA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/tanzania-kuwa-mwenyeji-wa-mkutano-wa.html
0 Response to "TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA WADAU WA BIMA AFRIKA"
Post a Comment