Simba wamaliza kambi Zanzibar na kurejea Dar

Simba wamaliza kambi Zanzibar na kurejea Dar - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Simba wamaliza kambi Zanzibar na kurejea Dar, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Simba wamaliza kambi Zanzibar na kurejea Dar
kiungo : Simba wamaliza kambi Zanzibar na kurejea Dar

soma pia


Simba wamaliza kambi Zanzibar na kurejea Dar





Na Abubakar Khatib Kisandu, Zanzibar.

Kikosi cha Simba kimeondoka Visiwani Zanzibar leo saa 3 za asubuhi kwa Ndege na kurejea jijini Dar es Salaam kwa maandalizi ya mwisho ya mechi yao ya kesho ya ligi kuu soka Tanzania bara dhidi ya Yanga kwenye uwanja wa Uhuru.

Akizungumza na Mtandao huu wakati waondoka hapa Zanzibar kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Afisa Habari wa Simba Haji Manara amesema akili yao yote ni kuifunga Yanga kesho kwenye uwanja wa Uhuru huku akiwataka Mashabiki wa Simba waendelee kuishangiria timu yao.

“Kambi ya Zanzibar ilikuwa nzuri sana naamini tumefikia malengo yetu, hapa tunaondoka na leo jioni Dar tutafanya mazoezi ya mwisho, nawaomba Mashabiki wa Simba wazidi kuishangiria timu yao”. Alisema Manara.

Simba walikuwa kambini mjini hapa tangu Jumatatu ya Oktoba 23 na leo Ijumaa Oktoba 27 wamerejea nyumbani Dar es salam kuwavaa Yanga.



Hivyo makala Simba wamaliza kambi Zanzibar na kurejea Dar

yaani makala yote Simba wamaliza kambi Zanzibar na kurejea Dar Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Simba wamaliza kambi Zanzibar na kurejea Dar mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/simba-wamaliza-kambi-zanzibar-na.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Simba wamaliza kambi Zanzibar na kurejea Dar"

Post a Comment