OFISI ZA YUSUPH MANJI ZAFUNGWA KWA DENI LA MILIONI 300

OFISI ZA YUSUPH MANJI ZAFUNGWA KWA DENI LA MILIONI 300 - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa OFISI ZA YUSUPH MANJI ZAFUNGWA KWA DENI LA MILIONI 300, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : OFISI ZA YUSUPH MANJI ZAFUNGWA KWA DENI LA MILIONI 300
kiungo : OFISI ZA YUSUPH MANJI ZAFUNGWA KWA DENI LA MILIONI 300

soma pia


OFISI ZA YUSUPH MANJI ZAFUNGWA KWA DENI LA MILIONI 300

Mfanyabiashara maarufu nchini, Yusuf Manji ameendelea kuingia matatani baada ya Kampuni ya Udalali ya Yono kuzifunga ofisi zake zilizopo Barabara ya Pugu.

Yono wamezifunga ofisi na maghala ya Manji ambaye alikuwa Mwenyekiti wa klabu ya Yanga akituhumiwa kudaiwa kodi ya zaidi ya Sh300 milioni na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Yono, Scholastika Kevela jana Ijumaa alisema, ‘’ni kweli tumezifunga ofisi za Manji zilizopo eneo la Pugu, anadaiwa fedha nyingi za kodi na TRA.”

Alipoulizwa kipi kitafuata baada ya kuzifunga, Kevela alisema, ‘’sisi utaratibu wetu ni kwamba tukizifunga huwa tunatoa siku 14 mhusika akalipe na baada ya hapo sasa tunasubiri maelekezo kutoka kwa TRA.


Hivyo makala OFISI ZA YUSUPH MANJI ZAFUNGWA KWA DENI LA MILIONI 300

yaani makala yote OFISI ZA YUSUPH MANJI ZAFUNGWA KWA DENI LA MILIONI 300 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala OFISI ZA YUSUPH MANJI ZAFUNGWA KWA DENI LA MILIONI 300 mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/ofisi-za-yusuph-manji-zafungwa-kwa-deni.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "OFISI ZA YUSUPH MANJI ZAFUNGWA KWA DENI LA MILIONI 300"

Post a Comment