MKUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI NCHINI THOBIAS ANDENGENYE AFANYA MAZUNGUMZO NA RC MAKONDA MAPEMA LEO JIJINI DAR

MKUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI NCHINI THOBIAS ANDENGENYE AFANYA MAZUNGUMZO NA RC MAKONDA MAPEMA LEO JIJINI DAR - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MKUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI NCHINI THOBIAS ANDENGENYE AFANYA MAZUNGUMZO NA RC MAKONDA MAPEMA LEO JIJINI DAR, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MKUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI NCHINI THOBIAS ANDENGENYE AFANYA MAZUNGUMZO NA RC MAKONDA MAPEMA LEO JIJINI DAR
kiungo : MKUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI NCHINI THOBIAS ANDENGENYE AFANYA MAZUNGUMZO NA RC MAKONDA MAPEMA LEO JIJINI DAR

soma pia


MKUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI NCHINI THOBIAS ANDENGENYE AFANYA MAZUNGUMZO NA RC MAKONDA MAPEMA LEO JIJINI DAR

 Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye, akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda wakati alipotembelea Ofisi za Mkuu wa Mkoa jijini Dar es Salaam leo. Katika Kikao hicho, Mkuu wa Mkoa aliahidi kushirikiana na Jeshi hilo kwa kuliongezea vitendea kazi ili liweze kujidhatiti katika kukabiliana na majanga mbalimbali. 
 Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye akimkabidhi zawadi ya Kalamu yenye ujumbe wa namba ya dharura 114 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda mara baada ya kumaliza mazungumzo yao wakati alipotembelea Ofisi za Mkuu wa Mkoa jijini Dar es Salaam leo. Katika Kikao hicho, Mkuu wa Mkoa aliahidi kushirikiana na Jeshi hilo kwa kuliongezea vitendea kazi ili liweze kujidhatiti katika kukabiliana na majanga mbalimbali
 Kamishna  Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye, akiagana  na  Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, mara baada ya kumaliza mazungumzo yao wakati alipotembelea Ofisi za Mkuu wa Mkoa jijini Dar es Salaam leo. Katika Kikao hicho, Mkuu wa Mkoa aliahidi kushirikiana na Jeshi hilo kwa kuliongezea vitendea kazi ili liweze kujidhatiti katika kukabiliana na majanga mbalimbali.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiwa katika picha ya pamoja na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye, mara baada ya kumaliza mazungumzo yao wakati alipotembelea Ofisi za Mkuu wa Mkoa jijini Dar es Salaam leo. Katika Kikao hicho, Mkuu wa Mkoa aliahidi kushirikiana na Jeshi hilo kwa kuliongezea vitendea kazi 


Hivyo makala MKUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI NCHINI THOBIAS ANDENGENYE AFANYA MAZUNGUMZO NA RC MAKONDA MAPEMA LEO JIJINI DAR

yaani makala yote MKUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI NCHINI THOBIAS ANDENGENYE AFANYA MAZUNGUMZO NA RC MAKONDA MAPEMA LEO JIJINI DAR Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MKUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI NCHINI THOBIAS ANDENGENYE AFANYA MAZUNGUMZO NA RC MAKONDA MAPEMA LEO JIJINI DAR mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/mkuu-wa-jeshi-la-zimamoto-na-uokoaji.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MKUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI NCHINI THOBIAS ANDENGENYE AFANYA MAZUNGUMZO NA RC MAKONDA MAPEMA LEO JIJINI DAR"

Post a Comment