title : Mkutano Mkuu wa CCM Wilaya ya Chakechake
kiungo : Mkutano Mkuu wa CCM Wilaya ya Chakechake
Mkutano Mkuu wa CCM Wilaya ya Chakechake
Mjumbe wa Mkutano mkuu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Chake Chake Pemba, Moh'd Aboud Moh'd, akiwa na baadhi ya Wajumbe wenzake katika ukumbi wa Skuli ya Fidel Castro Pemba.
Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano mkuu wa CCM , Wilaya ya Chake Chake Pemba, wakiwa katika mkutano huo huko katika Ukumbi wa Skuli ya Fidel Castro Vitongoji.
Muasisi wa Chama cha Mapinduzi Zanzibar, Sukwa Said Sukwa, akifunguwa mkutano mkuu wa Chama hicho Wilaya ya Chake Chake uliofanyika katika ukumbi wa Skuli ya Fidel Castro ,Vitongoji Pemba.
PICHA NA JAMILA ABDALLA.---MAELEZO PEMBA.
Hivyo makala Mkutano Mkuu wa CCM Wilaya ya Chakechake
yaani makala yote Mkutano Mkuu wa CCM Wilaya ya Chakechake Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Mkutano Mkuu wa CCM Wilaya ya Chakechake mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/mkutano-mkuu-wa-ccm-wilaya-ya-chakechake.html
0 Response to "Mkutano Mkuu wa CCM Wilaya ya Chakechake"
Post a Comment