Manaibu Waziri wa T/ Bara na Zanzibar wazungumza na wanahabari kuhusiana na mwenge wa Uhuru

Manaibu Waziri wa T/ Bara na Zanzibar wazungumza na wanahabari kuhusiana na mwenge wa Uhuru - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Manaibu Waziri wa T/ Bara na Zanzibar wazungumza na wanahabari kuhusiana na mwenge wa Uhuru, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Manaibu Waziri wa T/ Bara na Zanzibar wazungumza na wanahabari kuhusiana na mwenge wa Uhuru
kiungo : Manaibu Waziri wa T/ Bara na Zanzibar wazungumza na wanahabari kuhusiana na mwenge wa Uhuru

soma pia


Manaibu Waziri wa T/ Bara na Zanzibar wazungumza na wanahabari kuhusiana na mwenge wa Uhuru

 Mwandishi wa Habari wa Habari maelezo Takdiri Ali akiuliza maswali katika mkutano na Naibu Waziri wa Kazi Uwezeshaji,Wazee,Vijana,Wanawake na Watoto Shadia Mohammed Suleiman akiwa pamoja na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge,Kazi,Vijana na Wenye Ulemavu wa Tanzania Anthony Mavunde katika ukumbi wa Ofisi ya Kazi Uwezeshaji,Wazee,Vijana,Wanawake na Watoto Mwanakwerekwe Zanzibar.
 Naibu Waziri wa Kazi Uwezeshaji,Wazee,Vijana,Wanawake na Watoto Shadia Mohammed Suleiman akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na Mwenge wa Uhuru unaoendelea kukimbizwa katika Mikoa na Wilaya za Zanzibar katika ukumbi wa Wizara hio Mwanakwerekwe Zanzibar.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge,Kazi,Vijana na Wenye Ulemavu wa Tanzania, Anthony Mavunde kushoto akitolea ufafanuzi maswala mbalimbali yalioulizwa na waandishi katika mkutano  kuhusiana na Mwenge wa Uhuru unaoendelea kukimbizwa katika Mikoa na Wilaya za Zanzibar katika ukumbi wa Wizara hio Mwanakwerekwe Zanzibar.

Picha na Abdalla Omar, Maelezo Zanzibar.


Hivyo makala Manaibu Waziri wa T/ Bara na Zanzibar wazungumza na wanahabari kuhusiana na mwenge wa Uhuru

yaani makala yote Manaibu Waziri wa T/ Bara na Zanzibar wazungumza na wanahabari kuhusiana na mwenge wa Uhuru Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Manaibu Waziri wa T/ Bara na Zanzibar wazungumza na wanahabari kuhusiana na mwenge wa Uhuru mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/manaibu-waziri-wa-t-bara-na-zanzibar.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Manaibu Waziri wa T/ Bara na Zanzibar wazungumza na wanahabari kuhusiana na mwenge wa Uhuru"

Post a Comment