Twende App kuwawezesha wasafiri kupata huduma ya usafiri kupitia simu za mkononi

Twende App kuwawezesha wasafiri kupata huduma ya usafiri kupitia simu za mkononi - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Twende App kuwawezesha wasafiri kupata huduma ya usafiri kupitia simu za mkononi, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Twende App kuwawezesha wasafiri kupata huduma ya usafiri kupitia simu za mkononi
kiungo : Twende App kuwawezesha wasafiri kupata huduma ya usafiri kupitia simu za mkononi

soma pia


Twende App kuwawezesha wasafiri kupata huduma ya usafiri kupitia simu za mkononi


Meneja Mawasiliano wa Tigo Tanzania, Woinde Shisael (kushoto) na Mkurugenzi wa Twende App Justin Kashaigili (kulia) wakizungumza na waandishi wa habari kuhusu huduma mpya ya simu za mkononi ijulikanayo kama Twende App inayiowawezesha wasari kupata huduma ya haraka na usalama ya usafiri wa umma wa Taxi, pikipiki za bodaboda na pikipiki za magurudumu matatu kwa kutumia simu za mkononi.


Kampuni inayoongoza kwa mageuzi ya kidigitali nchini, Tigo Tanzania imeungana na kampni inayotoa huduma za usafiri Twende App kuzindua huduma mpya itakayowezehsa wasafiri kupata huduma bora, ya haraka na uhakika zaidi kupitia mfumo wa simu za mkononi unaojulikana kama Twende App. 



TwendeApp ni mfumo wa kidigitali wa simu za mkononi unaowezesha wasafiri kutafuta na kupata usafiri wa taxi, pikipiki za magurudumu mawili (bodaboda) na zile za magurudumu matatu kupitia simu zao za mkononi kwa uhakika zaidi na kwa bei nafuu. 



Twende App ambayo, tayari inatumika katika jiji la Dar es salaam, sasa imepanua wigo wake na kufikia miji ya Arusha, Morogoro, Mwanza, Kilimanjaro, Dodoma Iringa na Mbeya. Kuna mipango ya kusambaza huduma hiyo kwenda Zanzibar, Tanga na Mtwara. 



Hivyo makala Twende App kuwawezesha wasafiri kupata huduma ya usafiri kupitia simu za mkononi

yaani makala yote Twende App kuwawezesha wasafiri kupata huduma ya usafiri kupitia simu za mkononi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Twende App kuwawezesha wasafiri kupata huduma ya usafiri kupitia simu za mkononi mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/twende-app-kuwawezesha-wasafiri-kupata.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Twende App kuwawezesha wasafiri kupata huduma ya usafiri kupitia simu za mkononi"

Post a Comment