title : TANZIA: Mbunge Mpya wa Cuf Bi Hindu Amefariki Dunia
kiungo : TANZIA: Mbunge Mpya wa Cuf Bi Hindu Amefariki Dunia
TANZIA: Mbunge Mpya wa Cuf Bi Hindu Amefariki Dunia
Mbunge mteuliwa wa chama cha wananchi (CUF), Bi Hindu Mwenda amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa matibabu.
Taarifa kutoka kwa Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa CUF, Abdul Kambaya imesema kuwa Bi Hindu amefariki jana jioni baada ya kuugua kwa siku kadhaa japo hajaeleza kiundani chanzo cha kifo chake lakini amesema taratibu nyingine zinazofuata zitaelezwa hapo baadaye.
Marehemu Bi Hindu alikuwa ni miongoni mwa wabunge wapya waliotangazwa na Tume ya Uchaguzi kuchukua nafasi ya wabunge nane ambao walivuliwa uanachama na kupoteza sifa ya kuwa wabunge na Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba
Taarifa kutoka kwa Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa CUF, Abdul Kambaya imesema kuwa Bi Hindu amefariki jana jioni baada ya kuugua kwa siku kadhaa japo hajaeleza kiundani chanzo cha kifo chake lakini amesema taratibu nyingine zinazofuata zitaelezwa hapo baadaye.
Marehemu Bi Hindu alikuwa ni miongoni mwa wabunge wapya waliotangazwa na Tume ya Uchaguzi kuchukua nafasi ya wabunge nane ambao walivuliwa uanachama na kupoteza sifa ya kuwa wabunge na Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba
Hivyo makala TANZIA: Mbunge Mpya wa Cuf Bi Hindu Amefariki Dunia
yaani makala yote TANZIA: Mbunge Mpya wa Cuf Bi Hindu Amefariki Dunia Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala TANZIA: Mbunge Mpya wa Cuf Bi Hindu Amefariki Dunia mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/tanzia-mbunge-mpya-wa-cuf-bi-hindu.html
0 Response to "TANZIA: Mbunge Mpya wa Cuf Bi Hindu Amefariki Dunia"
Post a Comment