TAARIFA RASMI YA AFYA YA LISSU,MBOWE AWATOA HOFU WATANZANIA

TAARIFA RASMI YA AFYA YA LISSU,MBOWE AWATOA HOFU WATANZANIA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TAARIFA RASMI YA AFYA YA LISSU,MBOWE AWATOA HOFU WATANZANIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TAARIFA RASMI YA AFYA YA LISSU,MBOWE AWATOA HOFU WATANZANIA
kiungo : TAARIFA RASMI YA AFYA YA LISSU,MBOWE AWATOA HOFU WATANZANIA

soma pia


TAARIFA RASMI YA AFYA YA LISSU,MBOWE AWATOA HOFU WATANZANIA

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema kuwa hivi sasa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu anaweza kuongea na kula kidogo.

Akizungumza na waandishi jana Alhamisi jijini Nairobi, Mbowe amesema taarifa za kwamba Lissu amepata maambukizi katika kifua ambayo yanatishia maisha yake siyo za ukweli.

Mbowe amesema hali ya Lissu inabadilika kila siku hivyo amewahakikishia wananchi kuwa anaendelea kurejea katika hali yake.

Amesema Lissu ameweza kuonana na baadhi ya waliomtembelea kwa maelekezo ya madaktari ambao wanamtibu.

"Pamoja na kwamba kuna watu wengi wanataka kumuona lakini ni wachache wanaoruhusiwa kumuona kwa kuwa madaktari wanataka apumzike,"amesema Mbowe.


Hivyo makala TAARIFA RASMI YA AFYA YA LISSU,MBOWE AWATOA HOFU WATANZANIA

yaani makala yote TAARIFA RASMI YA AFYA YA LISSU,MBOWE AWATOA HOFU WATANZANIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TAARIFA RASMI YA AFYA YA LISSU,MBOWE AWATOA HOFU WATANZANIA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/taarifa-rasmi-ya-afya-ya-lissumbowe.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TAARIFA RASMI YA AFYA YA LISSU,MBOWE AWATOA HOFU WATANZANIA"

Post a Comment