MANJI NA WENZAKE KUHOJIWA POLISI - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MANJI NA WENZAKE KUHOJIWA POLISI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
MANJI NA WENZAKE KUHOJIWA POLISIkiungo :
MANJI NA WENZAKE KUHOJIWA POLISI
MANJI NA WENZAKE KUHOJIWA POLISI
Mfanyabiashara Yusuph Manji, akitoka Mahakamani baada ya Hakimu Mkazi, Huruma Shahidi kuruhusu yeye na wenzake watatu wanaokabiliwa na tuhuma za uhujumu uchumi kupelekwa polisi kuhojiwa ili kukamilisha upelelezi.
Manji aliyeletwa mahakamani hapo kwa hati ya kuwatoa mahakamani (remove order) anaenda kuhojiwa kufuatia barua ya maombi mahakamani hapo kutoka kwa ZCO, pia mahakama imewaamuru kesho kabla ya muda wa kazi kuisha wawe wamerudishwa mahakamani hapo.
Mbali ya Manji washtakiwa wengine ni Deogratius Kisinda, Abdallah Sangey na Thobias Fwere.
Manji na wenzake hao wamekabidhiwa kwa Detective Koplo Dotto ambaye ametakiwa mpaka kesho ndani ya saa za kazi wawe wamerudishwa mahakamani.
habari kamili itafuata baadaye kidogo.
Hivyo makala MANJI NA WENZAKE KUHOJIWA POLISI
yaani makala yote MANJI NA WENZAKE KUHOJIWA POLISI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MANJI NA WENZAKE KUHOJIWA POLISI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/manji-na-wenzake-kuhojiwa-polisi.html
Related Posts :
M-KOPA YAIPIGA JEKI SHULE YA SEKONDARI SANDULA ,MBOZI MKOANI SONGWENa Agness Francis, Blogu ya Jamii.
Wanafunzi wa shule ya Sekondali Sandula iliyopo wilayani Mbozi imeepukana na changamoto za uk… Read More...
IDDA3: Sahara Group advocates digital revolution at UN meeting
Executive Director at the Sahara Group, Tonye Cole has said the industrialisation of Africa in the next decade must be owned and led by Af… Read More...
BENKI YA CRDB YACHANGIA MILIONI MBILI UKARABATI WA SHULE YA MSINGI GEZAULOLE, JIJINI DAR
Katibu wa Benki ya CRDB na Mkurugenzi wa Maswala ya Kampuni, John Rugambo akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya sh. milioni mbil… Read More...
Nishati : Asilimia 95 ya miradi ya kuboresha Umeme wa TANESCO Dar es Salaam Imekamilika - Mhandisi Mgaya
NA K-VIS BLOG/Khalfan Said
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limesema, tayari asilimia 95 ya uboreshaji miradi ya umeme katika jiji … Read More...
Habari :Pitia Hapa Vichwa Mbalimbali vya Magazeti ya Leo, 27:09:2017
Wazalendo 25 Blog , is a Social Media which gives our Audience current News, Entertain… Read More...
0 Response to "MANJI NA WENZAKE KUHOJIWA POLISI"
Post a Comment