CHINA NI RAFIKI WA KWELI WA TANZANIA ,YASAIDIA KUKARABATI UWANJA WA MPIRA. CHUO CHA UTALII.

CHINA NI RAFIKI WA KWELI WA TANZANIA ,YASAIDIA KUKARABATI UWANJA WA MPIRA. CHUO CHA UTALII. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa CHINA NI RAFIKI WA KWELI WA TANZANIA ,YASAIDIA KUKARABATI UWANJA WA MPIRA. CHUO CHA UTALII., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : CHINA NI RAFIKI WA KWELI WA TANZANIA ,YASAIDIA KUKARABATI UWANJA WA MPIRA. CHUO CHA UTALII.
kiungo : CHINA NI RAFIKI WA KWELI WA TANZANIA ,YASAIDIA KUKARABATI UWANJA WA MPIRA. CHUO CHA UTALII.

soma pia


CHINA NI RAFIKI WA KWELI WA TANZANIA ,YASAIDIA KUKARABATI UWANJA WA MPIRA. CHUO CHA UTALII.

Balozi wa china nchini Tanzania anaye maliza muda wake China ,Dk. Lu Youqing akizungumza katika  na kukabidhi uwanja  wa chuo cha taifa cha utalii Tandika jijini dar es salaam.  (picha zote na Camera ya Mwambawahabari)


Mkuu wa mkoa wa Dar esa salaam mhe.Paul Makonda akizungumza katika hafla ya kukabidhiwa uwanja wa chuocha Utalii ulioko Tandika jijini Dar es salaam. ambapo ameishukuru serikali ya china kwa msaadahuo na kupongeza urafiki baina ya Tanzania na China ambao uliasisiwa na waasisi wa mataifa hayo . (picha zote na Camera ya Mwambawahabari)


Balozi wa China ,Dk. Lu Youqing akikaba mpira kwa mkuu wa mkoa mhe.Paul Makonda  katika uwanja wa Chuo cha utalii uliokuwa ukijulikana kwa jina la  uwanja bandari wakati makabidhiano ya uwanja huo na Mkuu wa Dar es Salaam.



Kaimu mkuu wa chuo cha utalii  cha Taifa Temeke ,Elina Makanja  akitoa neneo wakati wa hafila ya kukabidhiwa uwanja na balozi wa china ambapao amemshukuru balozi huyo kwa kukamilisha ukarabati wa uwanja huo na kusema kusemakuwa uwanja huo utawasaidia wakazi wa wilaya ya Temeke na mkoa wa Dar es salaam ,aliyeyeko upande wa kulia Dk. Lu Youqing


Hivyo makala CHINA NI RAFIKI WA KWELI WA TANZANIA ,YASAIDIA KUKARABATI UWANJA WA MPIRA. CHUO CHA UTALII.

yaani makala yote CHINA NI RAFIKI WA KWELI WA TANZANIA ,YASAIDIA KUKARABATI UWANJA WA MPIRA. CHUO CHA UTALII. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala CHINA NI RAFIKI WA KWELI WA TANZANIA ,YASAIDIA KUKARABATI UWANJA WA MPIRA. CHUO CHA UTALII. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/china-ni-rafiki-wa-kweli-wa-tanzania.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "CHINA NI RAFIKI WA KWELI WA TANZANIA ,YASAIDIA KUKARABATI UWANJA WA MPIRA. CHUO CHA UTALII."

Post a Comment