BREAKING NEWZZ: Viongozi wanne wa CUF wamefariki kwenye ajali wakitokea Dodoma

BREAKING NEWZZ: Viongozi wanne wa CUF wamefariki kwenye ajali wakitokea Dodoma - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BREAKING NEWZZ: Viongozi wanne wa CUF wamefariki kwenye ajali wakitokea Dodoma, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BREAKING NEWZZ: Viongozi wanne wa CUF wamefariki kwenye ajali wakitokea Dodoma
kiungo : BREAKING NEWZZ: Viongozi wanne wa CUF wamefariki kwenye ajali wakitokea Dodoma

soma pia


BREAKING NEWZZ: Viongozi wanne wa CUF wamefariki kwenye ajali wakitokea Dodoma



BREAKING NEWS: Jeshi la Polisi Kanda ya Dar es Salaam Linamshikiria Hashim Rungwe
Stori iliyonifikia asubuhi hii ya Jumatano September 6, 2017 ni kwamba Viongozi wanne wa Chama cha Wananchi CUF wanaomuunga mkono Profesa Ibrahim Lipumba wamefariki dunia baada ya msafara wao kupata ajali maeneo ya Ubenazomozi Mkoa wa Pwani.
Ajali hiyo imetokea jana usiku wakati Viongozi hao wakitokea Dodoma kwenye sherehe za kuapishwa kwa Wabunge wapya wa Chama hicho baada ya gari lao kugongana na Lori.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Habari wa CUF Abdallah Kambaya Viongozi waliofariki ni kutoka Wilaya ya Muheza, Tanga ambapo miongoni mwao ni Mgombea Udiwani wa Muheza Mjini, aliyefahmika kwa jina moja Uredi.
Aidha, idadi ya majeruhi haijajulikana ila ni hawazidi 10 na baadhi yao wapo Hospital ya Tumbi huku akisema chanzo cha ajali hiyo ni gari la wafuasi hao kugongana na lori.
Lewis Mbonde Tv na Lewis Mbonde Blog zinafuatilia na zitakujuza


Hivyo makala BREAKING NEWZZ: Viongozi wanne wa CUF wamefariki kwenye ajali wakitokea Dodoma

yaani makala yote BREAKING NEWZZ: Viongozi wanne wa CUF wamefariki kwenye ajali wakitokea Dodoma Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BREAKING NEWZZ: Viongozi wanne wa CUF wamefariki kwenye ajali wakitokea Dodoma mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/breaking-newzz-viongozi-wanne-wa-cuf.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "BREAKING NEWZZ: Viongozi wanne wa CUF wamefariki kwenye ajali wakitokea Dodoma"

Post a Comment