BREAKING NEWZZ: Viongozi wanne wa CUF wamefariki kwenye ajali wakitokea Dodoma - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BREAKING NEWZZ: Viongozi wanne wa CUF wamefariki kwenye ajali wakitokea Dodoma, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
BREAKING NEWZZ: Viongozi wanne wa CUF wamefariki kwenye ajali wakitokea Dodomakiungo :
BREAKING NEWZZ: Viongozi wanne wa CUF wamefariki kwenye ajali wakitokea Dodoma
BREAKING NEWZZ: Viongozi wanne wa CUF wamefariki kwenye ajali wakitokea Dodoma
Stori iliyonifikia asubuhi hii ya Jumatano September 6, 2017 ni kwamba Viongozi wanne wa Chama cha Wananchi CUF wanaomuunga mkono Profesa Ibrahim Lipumba wamefariki dunia baada ya msafara wao kupata ajali maeneo ya Ubenazomozi Mkoa wa Pwani.
Ajali hiyo imetokea jana usiku wakati Viongozi hao wakitokea Dodoma kwenye sherehe za kuapishwa kwa Wabunge wapya wa Chama hicho baada ya gari lao kugongana na Lori.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Habari wa CUF Abdallah Kambaya Viongozi waliofariki ni kutoka Wilaya ya Muheza, Tanga ambapo miongoni mwao ni Mgombea Udiwani wa Muheza Mjini, aliyefahmika kwa jina moja Uredi.
Aidha, idadi ya majeruhi haijajulikana ila ni hawazidi 10 na baadhi yao wapo Hospital ya Tumbi huku akisema chanzo cha ajali hiyo ni gari la wafuasi hao kugongana na lori.
Lewis Mbonde Tv na Lewis Mbonde Blog zinafuatilia na zitakujuza
Hivyo makala BREAKING NEWZZ: Viongozi wanne wa CUF wamefariki kwenye ajali wakitokea Dodoma
yaani makala yote BREAKING NEWZZ: Viongozi wanne wa CUF wamefariki kwenye ajali wakitokea Dodoma Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala BREAKING NEWZZ: Viongozi wanne wa CUF wamefariki kwenye ajali wakitokea Dodoma mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/breaking-newzz-viongozi-wanne-wa-cuf.html
Related Posts :
TAKUKURU KUMFIKISHA MAHAKAMANI MKURUGENZI WAKE WA MIPANGO, UFUATILIAJI NA TATHMINI KWA TUHUMA ZA KUGHUSHI NA KUJIPATIA FEDHA
*Ni yule aliyezungumzwa na Rais Magufuli jana Ikulu kuwa amechukua fedha za wenzake bilioni 1.4
*Aliwaambia anavyoviwanja...wakampa … Read More...
ALIYEKUWA BOSI TAKUKURU AFIKISHWA KORTINI KWA TUHUMA ZA KUJIPATIA SHILINGI BILIONI 1.4 KWA NJIA YA UDANGANYIFUNa Karama Kenyunko, Globu ya jamii
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Mipango, Ufutuatiliaji na Tathmini wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (… Read More...
Shabiki wa Simba atetema na Sh84.8 milioni za M-BET
Shabiki wa timu ya Simba, Chelsea, Juventus na Real Madrid , Semistocles Mkiza (41) ameshinda kiasi cha Sh 84,814,160 baada ya kubash… Read More...
KAMPUNI YA COCA-COLA YAPONGEZWA KWA UBUNIFU KUPITIA MICHEZO YA COPA COCA-COLANaibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mheshimiwa Mwita Waitara leo ameshiriki uzinduzi wa s… Read More...
KAMPUNI YA COCA-COLA YAPONGEZWA KWA UBUNIFU KUPITIA MICHEZO YA COPA COCA-COLANaibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mheshimiwa Mwita Waitara leo ameshiriki uzinduzi wa s… Read More...
0 Response to "BREAKING NEWZZ: Viongozi wanne wa CUF wamefariki kwenye ajali wakitokea Dodoma"
Post a Comment